Pettymagambo
JF-Expert Member
- Aug 21, 2017
- 1,490
- 8,227
Kwahii taarifa inayotrend ya viongozi wa Simba eti kutaka game dhidi ya Yanga isogezwe mbele kisa tu kuwepo kwa mechi ngumu wiki moja, yaani siku 7 mbele dhidi ya Bingwa Mtetezi wa Champions League.
Mjue mnatufanya mashabiki wenu wanyonge na tuonekane tunawaogopa hawa Yanga.
Lakini pia kama game na Yanga itaahirishwa maana yake kutakuwa na siku 12 za Simba kukaa bila kucheza mechi kutoka tarehe 10 ya mechi na Ihefu mpaka 22 dhidi ya Wydad. Je, hamuoni kama timu itakaa muda mrefu?
Viongozi wetu mtambue Yanga nao wana mechi kama sisi kimataifa pia, tena wao baada ya derby watasafiri kwenda Nigeria, lakini sisi ambao tutakuwa na mechi hapahapa eti ndo tuombe Derby isogezwe mbele?
Mnatufanya wanyonge mbele ya Yanga, yaani kama vipi TFF msikubali ombi hili, na kama ni kuburuzwa na Yanga na tuburuzwe tu na sio mechi isogezwe mbele.
Tunaonekana wanyonge kwa Yanga.
Mjue mnatufanya mashabiki wenu wanyonge na tuonekane tunawaogopa hawa Yanga.
Lakini pia kama game na Yanga itaahirishwa maana yake kutakuwa na siku 12 za Simba kukaa bila kucheza mechi kutoka tarehe 10 ya mechi na Ihefu mpaka 22 dhidi ya Wydad. Je, hamuoni kama timu itakaa muda mrefu?
Viongozi wetu mtambue Yanga nao wana mechi kama sisi kimataifa pia, tena wao baada ya derby watasafiri kwenda Nigeria, lakini sisi ambao tutakuwa na mechi hapahapa eti ndo tuombe Derby isogezwe mbele?
Mnatufanya wanyonge mbele ya Yanga, yaani kama vipi TFF msikubali ombi hili, na kama ni kuburuzwa na Yanga na tuburuzwe tu na sio mechi isogezwe mbele.
Tunaonekana wanyonge kwa Yanga.