Kama kweli we ni mhenga nitajie jina la mmojammoja

Njomba nchumali, mapung'o, kipepe, madenge, ndumila kuwili
 
1. Kipepe
4. Lodilofa
9. Madenge
 
1. Kipepe, 2. Lodilofa, 3.nywii, 4, ulanzi, 5. Bob mazishi, 10. Kizibau. Nakumbuka mchoraji alikuwa John Kaduma, mchoraji ambae mpaka sasa sijaona mbadala wake. RIP
 
1. Kipepe, 2. Lodilofa, 3.nywii, 4, ulanzi, 5. Bob mazishi, 10. Kizibau. Nakumbuka mchoraji alikuwa John Kaduma, mchoraji ambae mpaka sasa sijaona mbadala wake. RIP
Katika halihalisi ingewezekana kazi hii familia yake iendelee kunufaika wakiwemo watoto pia zikawekwa ktk electronic kama Tommy na Jerry ambazo muasisi japo hayupo burdan ingalipo
 
Kabisa, Sani lilikuwa zaidi ya burudani sijui lilikumbwa na nini![emoji848]
Sani limebadilika sana baada kuingiza mambo ya Udaku zaidi ila akina Bawji mimi naamini wangeazisha Blog imgekuwa sawia anyway hakuna gazeti lililoteka fikra za mtanzania katika miaka ya themanini na huenda mpaka leo kama Sani mungu awabariki.
 
Sani limebadilika sana baada kuingiza mambo ya Udaku zaidi ila akina Bawji mimi naamini wangeazisha Blog imgekuwa sawia anyway hakuna gazeti lililoteka fikra za mtanzania katika miaka ya themanini na huenda mpaka leo kama Sani mungu awabariki.
Kweli, wameshindwa kuendana na kasi ya utandawazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…