Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] You lie oohMi mmoja.
Suala likiwa linahusisha uchi sijui kwanini mihemko inakuwa mingi, wamesahau kuwa hata ulafi ni dhambiKwanini waulize kuhusu wanawake tu?
Dhambi ziko nyingi
Samahani Baba Mwenyezi, sikumbuki kwani nilikuwa nalala nao tu kwa matamanio na si kuwapenda. Kingine, wengi wao walikuwa wananitongoza wenyewe nami kama rijali sikuwakataa.Mi mmoja.
Nakazia 😄😄Nani alikwambia hiyo ni dhambi..
Waliumba mbususu na mkuyenge
Wakaumba nyege
Walitegemea nini!?
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Suala likiwa linahusisha uchi sijui kwanini mihemko inakuwa mingi, wamesahau kuwa hata ulafi ni dhambi