Kwa mara ya kwanza CHADEMA imekubali kwamba Tundu Lissu ni mgonjwa na anatumia dawa.
Wamekubali hili baada ya Lissu kukamatwa na kukaa saa 24 bila kutumia dawa zake.
Inakuwaje mtu huyu ambaye ni mgonjwa anayerudi nchini Ubelgiji mara kwa mara kupata matibabu mnamtanguliza mbele katika jambo (unlawfull assembly) ambalo mnajua fika litamuingiza kwenye matatizo?
Soma Pia: Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa
Huu ni ubinafsi wa hali ya juu. Hii ina tofauti gani na kutaka kummaliza ninyi wenyewe? Acheni ubinafsi na kuweni na huruma.
Huyu mtu ana matibabu makubwa bado hajamaliza. Msaidieni Lissu apone badala ya kumtumia. Matibabu yake yanahitaji utulivu.
Wamekubali hili baada ya Lissu kukamatwa na kukaa saa 24 bila kutumia dawa zake.
Inakuwaje mtu huyu ambaye ni mgonjwa anayerudi nchini Ubelgiji mara kwa mara kupata matibabu mnamtanguliza mbele katika jambo (unlawfull assembly) ambalo mnajua fika litamuingiza kwenye matatizo?
Soma Pia: Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa
Huu ni ubinafsi wa hali ya juu. Hii ina tofauti gani na kutaka kummaliza ninyi wenyewe? Acheni ubinafsi na kuweni na huruma.
Huyu mtu ana matibabu makubwa bado hajamaliza. Msaidieni Lissu apone badala ya kumtumia. Matibabu yake yanahitaji utulivu.