Mipale Steve
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 384
- 43
Naomba kuuliza je kama mtu ana F ya Gs kwenye matokeo ya f6 na masomo mengine ana princple 3 kwa mfano
gs- F
bam- s
economics- d
commerce- d
acountant-d
div 3 pts 12
je mtu huyu anaweza kuchaguliwa shahada?? Maana nasikia huwez chaguliwa kama una f ya Gs? Je n kweli?
gs- F
bam- s
economics- d
commerce- d
acountant-d
div 3 pts 12
je mtu huyu anaweza kuchaguliwa shahada?? Maana nasikia huwez chaguliwa kama una f ya Gs? Je n kweli?