Naomba kuuliza je kama mtu ana F ya Gs kwenye matokeo ya f6 na masomo mengine ana princple 3 kwa mfano
gs- F
bam- s
economics- d
commerce- d
acountant-d
div 3 pts 12
je mtu huyu anaweza kuchaguliwa shahada?? Maana nasikia huwez chaguliwa kama una f ya Gs? Je n kweli?
Unapata chuo bla shaka na mkopo utalamba km unavigezo vngne coz kufel Gs co kigezo cha kukosa mkopo.
Karibun vyuoni ila kuwen makin msichague coz zenye cutoff point kubwa kuliko matokeo yenu. Ishu hyo iliwacost weng mwaka 2011/2012. Hongera!