Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Dogo kwanini usihamie Yanga kwa muda ili usiaibike Simba ikifungwa na Yanga? Sisi wengine ni kama wimbo wa Washabiki wa Liverpool "Simba Will Never Walk Alone!"Mnatuambia Simba mpya inakuja, mnawaimbisha watu kuwa safari ijayo mnyama atakuwa hashikiki, ukiangalia yanayoendelea kwenye App ni Mzamiru, Kapombe, Israel, bado Tshabalala, Kaze, Duchu, kudadeki.Hakuna jipya hapo.
Msimu ujao ni maumivu makali zaidi ya haya ya msimu huu.Rest in Peace mzee wa Rungu.