Kama Magoli ya penati hayana maana, kwa nini Yanga mnasema mmetolewa CAF kwa kanuni wakati goli lenu moja ni la penati?

Kwa kila hali mlizidiwa uwezo.Mlipigwa goli mbili kwenu,na kwao mkashinda kwa penalty( goli dhaifu sana) kwa mujibu wenu wenyewe.
Mmelalamikia CAF safari hii sio TFF.Nayo ni maendeleo.
 

Attachments

  • maxresdefault (1).jpg
    73.6 KB · Views: 1
Kwenye hili suala la kuchagua mfungaji bora wa NBC PL endapo wachezaji walio vinara wa ligi watalingana magoli kwa mujibu bodi ya ligi ni kuwa msimu huu sheria zimebadilika za kuamua nani mfungaji bora.

Kwa mantiki bora ni kuwa bodi ya ligi itakaa kikao na kuamua mfungaji bora kati ya Fiston Mayele na Saidi Ntibazonkiza nani anastahili kiatu cha dhahabu, itaamua kwa kuangalia vigezo vya CAF na FIFA ili kutoa kiatu cha mfungaji bora.

Kwa msimu uliopita bodi ya ligi ilikuwa imeweka kila kitu hadharani kuwa ikiwa watalingana magoli wachezaji kwenye vinara wa ligi kuu ni kuwa atakae funga mabao machache ya penati kwenye idadi ya aliyofunga ndie mfungaji bora.

Kwa mujibu wa Bodi ya Ligi kuu ya Tanzania (NBC PL) kuelekea kuamua mfungaji bora msimu huu! Huu ndio utaratibu.
 
Kupitia sakata la Feisal na hili la mfungaji bora niligundua hii JF kuna knowledge gap kubwa sana hasa kwa hawa ndugu zetu kilo moja FC. Yan kuna wakati unasoma kitu mpaka unashangaa hivi huyu alienda shule kusomea ujinga au kwa sababu haiwezekani yan.. aah au basi
 
Maelezo mengiiii kweli halafu hayana maana
 
Basi tusema walilimwa 2-1 so hawakufungwa kikanuni.[emoji1787]utopolo ni majinga sana asee
 
Mikia ni mikia tu... yaani umekaa wa mwisho mwisho... hata akili zenu zipo mwishon... sasa NBC PL na CAF huoni kama ni vitu viwili tofauti..??
 
Simba ni genge la wahuni kama ilivyo kwa TFF.

Mchezaji mmoja anafunga magoli 7 kwenye mechi 2 mfululizo za mwisho!

Hapa kuna upangaji wa matokeo, wahusika fanyeni kazi zenu
 
Simba ni genge la wahuni kama ilivyo kwa TFF.

Mchezaji mmoja anafunga magoli 7 kwenye mechi 2 mfululizo za mwisho!

Hapa kuna upangaji wa matokeo, wahusika fanyeni kazi zenu
Wivu wa kike utakuua.
Jana Azam kafunga goli 8 timu ile ile kwa taarifa yako.
Na kama ni kupanga kwa nini jana asifunge hat trick ili kuondoa ubishi?
 
UTARATIBU WA FIFA UPO KAMA IFUATAVYO.

1.Wanaangali mchezaji aliyefunga MAGOLi mengi zaidi kwenye mashindano.

2.kama wachezaji wamefungana wame( tie) MAGOLi aliyecheza MICHEZO MICHACHE ndio anapewa ufungaji Bora.

3.kama wote WAMECHEZA michezo sawa wanaangalia Mchezaji MWENYE Asisist nyingi.

KAMA TUNGEKUWA TUNAFUATA SHERIA ZA FIFA SAIDO ANGEKUWA MFUNGAJI BORA NBC 2022-2023.
 
Ficha ujinga wako kwa kukaa kimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…