Kama mama Samia ameonyesha kwa vitendo kwenye nishati ya kupikia kwanini hawaonei huruma wajawazito wanaotukanwa na wasaidizi wake?

Kama mama Samia ameonyesha kwa vitendo kwenye nishati ya kupikia kwanini hawaonei huruma wajawazito wanaotukanwa na wasaidizi wake?

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Ni mambo ya kushangaza kidogo, je tumerogwa? ama tumejiroga?

Ni hali ya hatari kwa kweli inakuwaje serikali imetumia pesa nyingi kwenye michezo lakini imeshindwa kununua vifaa vya kujifungilia kina mama?

Mkuu wa mkoa wa Dar anaongoza mapambano ya kuwatukana wajawazito kisa tu yeye na familia yake wanapata matibabu kwa Kodi za Hawa kina mama masikini?

Hili likipita bila kuchukuliwa hatua basi na laana ikawe juu ya taifa hili.
 
Ni mambo ya kushangaza kidogo, je tumerogwa? ama tumejiroga? Ni hali ya hatari kwa kweli inakuwaje serikali imetumia pesa nyingi kwenye michezo lakini imeshindwa kununua vifaa vya kujifungilia kina mama? Mkuu wa mkoa wa Dar anaongoza mapambano ya kuwatukana wajawazito kisa tu yeye na familia yake wanapata matibabu kwa Kodi za Hawa kina mama masikini? Hili likipita bila kuchukuliwa hatua basi na laana ikawe juu ya taifa hili.
Vitendo gani mkuu? Kugawa mitungi? Kugawa mitungi haiwezi kuwa solution. Unayemgawia mtungi gas ikiisha anaiweka store anarudi kwenye kuni maana kubadilisha mtungi unakuta hawezi kuafford. Issue ni hiyo gas kubadilisha kuwa bei ya chini wala hakuna atakayetaka kutumia mkaa.
Unajua gas ni cheap kuliko mkaa, ila sasa haiuzwi kwa vibaba na hapo inapaswa utoe pesa ya kutosha kubadilisha. Ni sawa na vifurushi vya internet, unlimited kwa mwezi unakuta labda 70,000. Lakini mtu hana uwezo wa kutoa hiyo 70,000 anajikuta kila siku anajiunga 2500 ambayo kwa siku 30 ni zaidi ya hiyo na si unlimited.
 
MWAKA 1961 TANGANYIKA IKIPATA UHURU.

BABA WA TAIFA ALIWATAJA MAADUI WAKUU WA TATU WA TAIFA.
1. UMASIKINI.
2. UJINGA.
3. MARADHI.

AKAMALIZA KWA KUSEMA "MAADUI HAWA NI MAADUI KWELI KWELI NA SI MAADUI WA DHIHAKA"
JK NYERERE
 
Ni mambo ya kushangaza kidogo, je tumerogwa? ama tumejiroga? Ni hali ya hatari kwa kweli inakuwaje serikali imetumia pesa nyingi kwenye michezo lakini imeshindwa kununua vifaa vya kujifungilia kina mama? Mkuu wa mkoa wa Dar anaongoza mapambano ya kuwatukana wajawazito kisa tu yeye na familia yake wanapata matibabu kwa Kodi za Hawa kina mama masikini? Hili likipita bila kuchukuliwa hatua basi na laana ikawe juu ya taifa hili.
Yaani wewe uilaani inchi Nzima, Acha masihara basi
 
Back
Top Bottom