Kama utani lakini inatokea.Ninaona yanga wanafanikiwa kuwa na ushawishi mkubwa kwa wachezaji wa Simba na viongozi waliopo.
Siamini kabisa kuhusu matukio mengi yaliyotokea hasa kupitia kwa wachezaji wa kigeni kama yalikuwa bahati mbaya.
Baadhi ya wachezaji walilipwa na yanga kucheza chini ya kiwango.Wa kwanza ni Inonga.
Nilitarajia kuwa Simba wangewaacha wachezaji wengi pro bila kujali chochote lakini ni masikitiko yangu kila wanalopangiwa na yanga wanalifanya.
Tulipangiwa kucheza shirikisho na ukweli uko wazi kwa hili kutokea.
Tulipangiwa kufungwa tano,na mtu anasema mapema kabisa eti ameoteshwa na kweli inatokea.Hii si bahati mbaya.
Tumeshaambiwa bado miaka miwili hatutachukua ubingwa na dalili zimeanza kujionyesha iwapo viongozi tulio nao ndio hawa hawa.Tunaona machawa walivyopangwa kuwatetea eti tusiwaseme viongozi wetu!
Tunaona uwepo wa Mo ni kwa ajili ya kuifanya Simba iwe timu machachari kama KMC lakini ukweli haina malengo ya kwenda popote Africa.Usajili wa Chama ni dalili kuwa hawana mpango wa kuleta mbadala wa chama.
Simba itaendelea kuishi kwa kuchechemea na kupigania nafasi ya pili au ya tatu hadi viongozi kama mangungo waondoke,wafadhili kama mo aachane na Simba.Kama Singida na Ihefu wanapata wafadhili,itakuwa Simba?
Siamini kabisa kuhusu matukio mengi yaliyotokea hasa kupitia kwa wachezaji wa kigeni kama yalikuwa bahati mbaya.
Baadhi ya wachezaji walilipwa na yanga kucheza chini ya kiwango.Wa kwanza ni Inonga.
Nilitarajia kuwa Simba wangewaacha wachezaji wengi pro bila kujali chochote lakini ni masikitiko yangu kila wanalopangiwa na yanga wanalifanya.
Tulipangiwa kucheza shirikisho na ukweli uko wazi kwa hili kutokea.
Tulipangiwa kufungwa tano,na mtu anasema mapema kabisa eti ameoteshwa na kweli inatokea.Hii si bahati mbaya.
Tumeshaambiwa bado miaka miwili hatutachukua ubingwa na dalili zimeanza kujionyesha iwapo viongozi tulio nao ndio hawa hawa.Tunaona machawa walivyopangwa kuwatetea eti tusiwaseme viongozi wetu!
Tunaona uwepo wa Mo ni kwa ajili ya kuifanya Simba iwe timu machachari kama KMC lakini ukweli haina malengo ya kwenda popote Africa.Usajili wa Chama ni dalili kuwa hawana mpango wa kuleta mbadala wa chama.
Simba itaendelea kuishi kwa kuchechemea na kupigania nafasi ya pili au ya tatu hadi viongozi kama mangungo waondoke,wafadhili kama mo aachane na Simba.Kama Singida na Ihefu wanapata wafadhili,itakuwa Simba?