kama mavi hayajakubana na huna mkojo kwanini huingie chooni

kama mavi hayajakubana na huna mkojo kwanini huingie chooni

The Mastermind

Senior Member
Joined
Dec 3, 2012
Posts
107
Reaction score
50
km kichwa cha habari kinavyojieleza kuna mijitu humu kazi kukosoa wenzao tu hili ni jukwaa la love connect it means ukiingia humu unalijua lengo la humu ni connection za maloveee tu sasa m2 kaweka cfa zake me mwanafunzi labda mijitu mingine mibaba ushauri na mimama ushauri utackia soma kwanza haya sasa nyie mumeingia love connect kufanya nini mijitu mingne inakwambia mm nimesoma kwanza ndo nikaoa nina watoto 3 sasa humu unafanya nini hii ni sehemu ye2 mabachelor tuacheni tujimwae #looking 4 single girlz#
 
km kichwa cha habari kinavyojieleza kuna mijitu humu kazi kukosoa wenzao tu hili ni jukwaa la love connect it means ukiingia humu unalijua lengo la humu ni connection za maloveee tu sasa m2 kaweka cfa zake me mwanafunzi labda mijitu mingine mibaba ushauri na mimama ushauri utackia soma kwanza haya sasa nyie mumeingia love connect kufanya nini mijitu mingne inakwambia mm nimesoma kwanza ndo nikaoa nina watoto 3 sasa humu unafanya nini hii ni sehemu ye2 mabachelor tuacheni tujimwae #looking 4 single girlz#

Nilifikiri nililiona mimi tu hilo jambo. Maana kuna mi .fa.l.a fulani hivi humu ndani inakuja kupotosha watu, na mishenzi, na miaribifu, miongo, mingine haijawai kuoa toka izaliwe, mwanamke gani anataka wanaume kama hii.

Na kuna mingine imeoa wanawake wazuri sana na inacheatiwa haipendwi, mingine ilitapeliwa, ndio hasira zao wanakuja kuwatolea wengine humu ndani. Wengine wanaishi maisha ya tabu, wengine wamesha aribikiwa ndio wanakuja kuaribia wengine pia, mie nimeamua kuandika barua kuiandikia jf, hisiruhusu watu kucomment kwenye tangazo. jf imeniacha hoi
 
Nilifikiri nililiona mimi tu hilo jambo. Maana kuna mi .fa.l.a fulani hivi humu ndani inakuja kupotosha watu, na mishenzi, na miaribifu, miongo, mingine haijawai kuoa toka izaliwe, mwanamke gani anataka wanaume kama hii.

Na kuna mingine imeoa wanawake wazuri sana na inacheatiwa haipendwi, mingine ilitapeliwa, ndio hasira zao wanakuja kuwatolea wengine humu ndani. Wengine wanaishi maisha ya tabu, wengine wamesha aribikiwa ndio wanakuja kuaribia wengine pia, mie nimeamua kuandika barua kuiandikia jf, hisiruhusu watu kucomment kwenye tangazo. jf imeniacha hoi
Sio siri ndugu wanajikomba tu hawana lolote acha 2fanye ye2 2kizeeka 2tasimulia nini
 
Tunakuja kukushauri na kukupa mwongozo. Jukwaa la siasa tungewaachia kina ben saanane na zitto kabwe si wangenyofoana makoromeo? Lazma tuwepo ili kuwaamulia wasirushiane mouse
 
Tunakuja kukushauri na kukupa mwongozo. Jukwaa la siasa tungewaachia kina ben saanane na zitto kabwe si wangenyofoana makoromeo? Lazma tuwepo ili kuwaamulia wasirushiane mouse

Nendeni na angaza pia mkatoe huo ushauri mbona mnawaachia madokta peke yao
 
km kichwa cha habari kinavyojieleza kuna mijitu humu kazi kukosoa wenzao tu hili ni jukwaa la love connect it means ukiingia humu unalijua lengo la humu ni connection za maloveee tu sasa m2 kaweka cfa zake me mwanafunzi labda mijitu mingine mibaba ushauri na mimama ushauri utackia soma kwanza haya sasa nyie mumeingia love connect kufanya nini mijitu mingne inakwambia mm nimesoma kwanza ndo nikaoa nina watoto 3 sasa humu unafanya nini hii ni sehemu ye2 mabachelor tuacheni tujimwae #looking 4 single girlz#
me mwenyewe wananibore sana cjui ni watu wakeshimundu
 
...teh teh...kama "sijabanwa" hata kwenda kutema mate naruhusiwa.
Pole mkuu, ila usitegemee wote kuwa na mawazo sawa. Ndio maana dunia inaendelea.
 
...teh teh...kama "sijabanwa" hata kwenda kutema mate naruhusiwa.
Pole mkuu, ila usitegemee wote kuwa na mawazo sawa. Ndio maana dunia inaendelea.

Ndo nawapa mafindofindo sasa nani kakwambia chooni pa kutemea mate
 
Teh! teh! teeeh!! The Mastermind umenikosha mkuu!! kuna mijitu ina stress, depression, frustration zao wanamalizia humu!
 
SOMOE big up sana dada!! Yaan nimechekaje?! nilikuwa nimenuna but umenifanya nimalize siku yangu vizuri ROFL ..!! he! he
 
Kama shuzi lime nibana unataka nilitusue mbela za watu???
Ok wame kusikia....
 
Back
Top Bottom