Kama Mbowe atapita, CHADEMA waulizwe wana nia na dhumuni lipi la Mbowe kuwa mwenyekiti wa maisha? Je, hawatabadili katiba watawale maisha wakishinda?

Kama Mbowe atapita, CHADEMA waulizwe wana nia na dhumuni lipi la Mbowe kuwa mwenyekiti wa maisha? Je, hawatabadili katiba watawale maisha wakishinda?

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
2,789
Reaction score
4,951
Wapinzani waliposhindwa kusimama mbele ya CCM na mwenyekiti wake katika uchaguzi wa Serikali za mitaa wanadai hakukuwa na uchaguzi ila uchafuzi na hii si mara ya kwanza kulalamika baada ya uchaguzi. Kususia uchaguzi na chama kupita bila kupingwa ni uchafuzi kwa mantiki yao. Tuachane na hayo kwa kuwa inawezekana kabisa mtu kupita bila kupingwa uchaguzi wa serikali za mitaa , na sababu ni: mtaani watu wanajua nani ana uwezo wa kushinda hivyo wengine wanaona hamna sababu ya kushindana na hii inakuja baada ya mtaa kuwa ni eneo dogo na lenye watu wachache.

Hapohapo CHADEMA wanasahau kujisitiri kuficha aibu kwa yatakayofanyika uchaguzi wa ndani wa chama chao. Haya mambo mawili yanatia doa uchaguzi wa chama chao na kuwa si uchaguzi ila ni uchafuzi mkubwa:
  • La kwanza, kuna uwezekano mkubwa sana Mbowe kurudi katika nafasi yake ya uenyekiti na kuvunja rekedi ya mwenyekiti aliyekaa muda mrefu zaidi madarakani baada ya Lipumba. Kwanini ni Mbowe wakati waliokaa madarakani muda mrefu wapo wengi? Kwanza, CHADEMA kimejimnanua kama chama kinachopigania demokrasia na moja ya hitaji la msingi la muhimu la kidemokrasia ni kuachiana madaraka na ukomo wa madaraka uwe unataka au hutaki. Je, CHADEMA chini ya Mbowe wametekeleza hilo? Ni demokrasia ipi wanayojivunia? Pili, Mbowe na wenzake ( CHADEMA) wanaeneza propaganda mbaya sana kuwa mwenyekiti wa CCM ni ‘dikteta uchwara’, je kukaa madarakani muda mrefu si kiashiria kimojawapo cha udikteta?
  • La pili, kilichotokea kanda ya CHADEMA Pwani ndio kinasikitisha zaidi kuliko Mbowe kuongoza CHADEMA maisha. Ni aibu gani hii kwamba Kanda nzima ya Pwani ya kichama mtu akapita bila kupingwa. Wanashangaa mtu kwenye mtaa mmoja kupita bila kupingwa lakini hawashangai kanda nzima yenye mitaa zaidi ya 100 mtu kupita bila kupingwa.

Mazingira hayo mawili yanaonesha nia, dhumuni na dhamira ya CHADEMA isivyo nzuri na katika kuweka kumbukumbu sawa, watu hawa watabadili katiba ya nchi ili mojawapo ya hayo mawili lifanyike. Wanaweza kubadili katiba ili waongoze maisha au wapite bila kupingwa. Mwalimu Nyerere aliwahi kusema ukizoea kula nyama ya mtu huwezi kuacha, hivyo ndivyo inavyoonesha kwa watani wetu hao. Uchaguzi wa 2020 tuwahoji hili swali ili mioyo yetu itulie.
 
Hayakuhusu mambo ya ndani ya chama kisicho na nasaba nawe.
Ni sawa na mtu wa TLP aulize mbona mgombea wa CCM anapendekezwa na sio kuchaguliwa?
 
Ukizoea kula nyama ya mtu huwezi kuacha. Yaani ukizoea kuua na kupoteza Watanzania wenzako kwa kutumia watu wasiojulikana kamwe huwezi kuacha.
 
Hayakuhusu mambo ya ndani ya chama kisicho na nasaba nawe.
Ni sawa na mtu wa TLP aulize mbona mgombea wa CCM anapendekezwa na sio kuchaguliwa?
labda utusaidie wewe , maana Mimi naona hatari kubwa mtu kung'ang'ania madarakani tena kwa uenyekiti tu,je dhumuni ni nini?
 
Wapinzani waliposhindwa kusimama mbele ya CCM na mwenyekiti wake katika uchaguzi wa Serikali za mitaa wanadai hakukuwa na uchaguzi ila uchafuzi na hii si mara ya kwanza kulalamika baada ya uchaguzi. Kususia uchaguzi na chama kupita bila kupingwa ni uchafuzi kwa mantiki yao. Tuachane na hayo kwa kuwa inawezekana kabisa mtu kupita bila kupingwa uchaguzi wa serikali za mitaa , na sababu ni: mtaani watu wanajua nani ana uwezo wa kushinda hivyo wengine wanaona hamna sababu ya kushindana na hii inakuja baada ya mtaa kuwa ni eneo dogo na lenye watu wachache.

Hapohapo CHADEMA wanasahau kujisitiri kuficha aibu kwa yatakayofanyika uchaguzi wa ndani wa chama chao. Haya mambo mawili yanatia doa uchaguzi wa chama chao na kuwa si uchaguzi ila ni uchafuzi mkubwa:
  • La kwanza, kuna uwezekano mkubwa sana Mbowe kurudi katika nafasi yake ya uenyekiti na kuvunja rekedi ya mwenyekiti aliyekaa muda mrefu zaidi madarakani baada ya Lipumba. Kwanini ni Mbowe wakati waliokaa madarakani muda mrefu wapo wengi? Kwanza, CHADEMA kimejimnanua kama chama kinachopigania demokrasia na moja ya hitaji la msingi la muhimu la kidemokrasia ni kuachiana madaraka na ukomo wa madaraka uwe unataka au hutaki. Je, CHADEMA chini ya Mbowe wametekeleza hilo? Ni demokrasia ipi wanayojivunia? Pili, Mbowe na wenzake ( CHADEMA) wanaeneza propaganda mbaya sana kuwa mwenyekiti wa CCM ni ‘dikteta uchwara’, je kukaa madarakani muda mrefu si kiashiria kimojawapo cha udikteta?
  • La pili, kilichotokea kanda ya CHADEMA Pwani ndio kinasikitisha zaidi kuliko Mbowe kuongoza CHADEMA maisha. Ni aibu gani hii kwamba Kanda nzima ya Pwani ya kichama mtu akapita bila kupingwa. Wanashangaa mtu kwenye mtaa mmoja kupita bila kupingwa lakini hawashangai kanda nzima yenye mitaa zaidi ya 100 mtu kupita bila kupingwa.

Mazingira hayo mawili yanaonesha nia, dhumuni na dhamira ya CHADEMA isivyo nzuri na katika kuweka kumbukumbu sawa, watu hawa watabadili katiba ya nchi ili mojawapo ya hayo mawili lifanyike. Wanaweza kubadili katiba ili waongoze maisha au wapite bila kupingwa. Mwalimu Nyerere aliwahi kusema ukizoea kula nyama ya mtu huwezi kuacha, hivyo ndivyo inavyoonesha kwa watani wetu hao. Uchaguzi wa 2020 tuwahoji hili swali ili mioyo yetu itulie.
mtakonda mwaka huu 😎 😎 😎
 
Mbowe 4ever hutaki kajinyonge
Wapinzani waliposhindwa kusimama mbele ya CCM na mwenyekiti wake katika uchaguzi wa Serikali za mitaa wanadai hakukuwa na uchaguzi ila uchafuzi na hii si mara ya kwanza kulalamika baada ya uchaguzi. Kususia uchaguzi na chama kupita bila kupingwa ni uchafuzi kwa mantiki yao. Tuachane na hayo kwa kuwa inawezekana kabisa mtu kupita bila kupingwa uchaguzi wa serikali za mitaa , na sababu ni: mtaani watu wanajua nani ana uwezo wa kushinda hivyo wengine wanaona hamna sababu ya kushindana na hii inakuja baada ya mtaa kuwa ni eneo dogo na lenye watu wachache.

Hapohapo CHADEMA wanasahau kujisitiri kuficha aibu kwa yatakayofanyika uchaguzi wa ndani wa chama chao. Haya mambo mawili yanatia doa uchaguzi wa chama chao na kuwa si uchaguzi ila ni uchafuzi mkubwa:
  • La kwanza, kuna uwezekano mkubwa sana Mbowe kurudi katika nafasi yake ya uenyekiti na kuvunja rekedi ya mwenyekiti aliyekaa muda mrefu zaidi madarakani baada ya Lipumba. Kwanini ni Mbowe wakati waliokaa madarakani muda mrefu wapo wengi? Kwanza, CHADEMA kimejimnanua kama chama kinachopigania demokrasia na moja ya hitaji la msingi la muhimu la kidemokrasia ni kuachiana madaraka na ukomo wa madaraka uwe unataka au hutaki. Je, CHADEMA chini ya Mbowe wametekeleza hilo? Ni demokrasia ipi wanayojivunia? Pili, Mbowe na wenzake ( CHADEMA) wanaeneza propaganda mbaya sana kuwa mwenyekiti wa CCM ni ‘dikteta uchwara’, je kukaa madarakani muda mrefu si kiashiria kimojawapo cha udikteta?
  • La pili, kilichotokea kanda ya CHADEMA Pwani ndio kinasikitisha zaidi kuliko Mbowe kuongoza CHADEMA maisha. Ni aibu gani hii kwamba Kanda nzima ya Pwani ya kichama mtu akapita bila kupingwa. Wanashangaa mtu kwenye mtaa mmoja kupita bila kupingwa lakini hawashangai kanda nzima yenye mitaa zaidi ya 100 mtu kupita bila kupingwa.

Mazingira hayo mawili yanaonesha nia, dhumuni na dhamira ya CHADEMA isivyo nzuri na katika kuweka kumbukumbu sawa, watu hawa watabadili katiba ya nchi ili mojawapo ya hayo mawili lifanyike. Wanaweza kubadili katiba ili waongoze maisha au wapite bila kupingwa. Mwalimu Nyerere aliwahi kusema ukizoea kula nyama ya mtu huwezi kuacha, hivyo ndivyo inavyoonesha kwa watani wetu hao. Uchaguzi wa 2020 tuwahoji hili swali ili mioyo yetu itulie.
Screenshot_20191125-162412.jpeg
 
Mbowe akishinda tena uwenyekiti naomba Ccm isiruhusu chadema wapate hata mbunge mmoja 2020 iki chama hakijitambui kama Mbowe hana mbadala basi na Ccm haina mbadala.
Pamoja na chadema kujivunia kuwa na wasomi, lakini kwenye hili nachelea kusema chadema hakuna wasomi! Wasomi gani huko chadema hawawezi kuhoji hii kitu ya ukomo wa mwenyekiti?
 
Kunahitajika watu ngangati wafia vhama na si mamluki wa masilahi kama waitara .Kwamba mmemhujumu bisharazake ,miradi yake ,mmweka ndani,mmemfungulia kesi kibao yupo tu na wala hahitaji kuunga mkono.Mbowe ndo wahavidhina wa upinzani na si mrema ,mzee cheo na lipumba.
Kwa mazingira ya siasa za Tanzania upinzani unahitahi wa fia chama kama akina mbowe na si wanachama masilahi kama calist lazaro na waitara
labda utusaidie wewe , maana Mimi naona hatari kubwa mtu kung'ang'ania madarakani tena kwa uenyekiti tu,je dhumuni ni nini?
 
Pamoja na chadema kujivunia kuwa na wasomi, lakini kwenye hili nachelea kusema chadema hakuna wasomi! Wasomi gani huko chadema hawawezi kuhoji hii kitu ya ukomo wa mwenyekiti?
Nyani haoni kundule. Yule mtia nia tuu wote tunajua kilichofuatia aliporudi toka safari. Toa boliti kwanza
 
Mnakoooonda kuhusu mbowe,nyerere alikua mwenyekiti wa ccm miaka mingapi vileeeee?
 
Wapinzani waliposhindwa kusimama mbele ya CCM na mwenyekiti wake katika uchaguzi wa Serikali za mitaa wanadai hakukuwa na uchaguzi ila uchafuzi na hii si mara ya kwanza kulalamika baada ya uchaguzi. Kususia uchaguzi na chama kupita bila kupingwa ni uchafuzi kwa mantiki yao. Tuachane na hayo kwa kuwa inawezekana kabisa mtu kupita bila kupingwa uchaguzi wa serikali za mitaa , na sababu ni: mtaani watu wanajua nani ana uwezo wa kushinda hivyo wengine wanaona hamna sababu ya kushindana na hii inakuja baada ya mtaa kuwa ni eneo dogo na lenye watu wachache.

Hapohapo CHADEMA wanasahau kujisitiri kuficha aibu kwa yatakayofanyika uchaguzi wa ndani wa chama chao. Haya mambo mawili yanatia doa uchaguzi wa chama chao na kuwa si uchaguzi ila ni uchafuzi mkubwa:
  • La kwanza, kuna uwezekano mkubwa sana Mbowe kurudi katika nafasi yake ya uenyekiti na kuvunja rekedi ya mwenyekiti aliyekaa muda mrefu zaidi madarakani baada ya Lipumba. Kwanini ni Mbowe wakati waliokaa madarakani muda mrefu wapo wengi? Kwanza, CHADEMA kimejimnanua kama chama kinachopigania demokrasia na moja ya hitaji la msingi la muhimu la kidemokrasia ni kuachiana madaraka na ukomo wa madaraka uwe unataka au hutaki. Je, CHADEMA chini ya Mbowe wametekeleza hilo? Ni demokrasia ipi wanayojivunia? Pili, Mbowe na wenzake ( CHADEMA) wanaeneza propaganda mbaya sana kuwa mwenyekiti wa CCM ni ‘dikteta uchwara’, je kukaa madarakani muda mrefu si kiashiria kimojawapo cha udikteta?
  • La pili, kilichotokea kanda ya CHADEMA Pwani ndio kinasikitisha zaidi kuliko Mbowe kuongoza CHADEMA maisha. Ni aibu gani hii kwamba Kanda nzima ya Pwani ya kichama mtu akapita bila kupingwa. Wanashangaa mtu kwenye mtaa mmoja kupita bila kupingwa lakini hawashangai kanda nzima yenye mitaa zaidi ya 100 mtu kupita bila kupingwa.

Mazingira hayo mawili yanaonesha nia, dhumuni na dhamira ya CHADEMA isivyo nzuri na katika kuweka kumbukumbu sawa, watu hawa watabadili katiba ya nchi ili mojawapo ya hayo mawili lifanyike. Wanaweza kubadili katiba ili waongoze maisha au wapite bila kupingwa. Mwalimu Nyerere aliwahi kusema ukizoea kula nyama ya mtu huwezi kuacha, hivyo ndivyo inavyoonesha kwa watani wetu hao. Uchaguzi wa 2020 tuwahoji hili swali ili mioyo yetu itulie.
Rubbish
 
Mkuu mimi nilifikiri ni Muda wenu wa kufurahia Ushindi wa kishindo ktk Uchafuzi hapo jana ,ya Chadema yamekupataje kwa mgano🙄
 
Mbowe anawanyima sana usingizi eee? Mbona mwenyekiti wenu hafuati katiba hamsemi? Katiba ibadilishwe na chadema wakati ccm mmeanza kuipuuza na kufuata matwaka ya mtu mmoja huoni? Kalagabaho! NI MBOWE TENA... manataka wale wanaojiuza ili muwanunue?!
 
Kinakuuma nn ,nendeni mkabadili katiba yachama cheni rais asiwe mwenyekiti .mtalala njaa mtakoma
 
Wapinzani waliposhindwa kusimama mbele ya CCM na mwenyekiti wake katika uchaguzi wa Serikali za mitaa wanadai hakukuwa na uchaguzi ila uchafuzi na hii si mara ya kwanza kulalamika baada ya uchaguzi. Kususia uchaguzi na chama kupita bila kupingwa ni uchafuzi kwa mantiki yao. Tuachane na hayo kwa kuwa inawezekana kabisa mtu kupita bila kupingwa uchaguzi wa serikali za mitaa , na sababu ni: mtaani watu wanajua nani ana uwezo wa kushinda hivyo wengine wanaona hamna sababu ya kushindana na hii inakuja baada ya mtaa kuwa ni eneo dogo na lenye watu wachache.

Hapohapo CHADEMA wanasahau kujisitiri kuficha aibu kwa yatakayofanyika uchaguzi wa ndani wa chama chao. Haya mambo mawili yanatia doa uchaguzi wa chama chao na kuwa si uchaguzi ila ni uchafuzi mkubwa:
  • La kwanza, kuna uwezekano mkubwa sana Mbowe kurudi katika nafasi yake ya uenyekiti na kuvunja rekedi ya mwenyekiti aliyekaa muda mrefu zaidi madarakani baada ya Lipumba. Kwanini ni Mbowe wakati waliokaa madarakani muda mrefu wapo wengi? Kwanza, CHADEMA kimejimnanua kama chama kinachopigania demokrasia na moja ya hitaji la msingi la muhimu la kidemokrasia ni kuachiana madaraka na ukomo wa madaraka uwe unataka au hutaki. Je, CHADEMA chini ya Mbowe wametekeleza hilo? Ni demokrasia ipi wanayojivunia? Pili, Mbowe na wenzake ( CHADEMA) wanaeneza propaganda mbaya sana kuwa mwenyekiti wa CCM ni ‘dikteta uchwara’, je kukaa madarakani muda mrefu si kiashiria kimojawapo cha udikteta?
  • La pili, kilichotokea kanda ya CHADEMA Pwani ndio kinasikitisha zaidi kuliko Mbowe kuongoza CHADEMA maisha. Ni aibu gani hii kwamba Kanda nzima ya Pwani ya kichama mtu akapita bila kupingwa. Wanashangaa mtu kwenye mtaa mmoja kupita bila kupingwa lakini hawashangai kanda nzima yenye mitaa zaidi ya 100 mtu kupita bila kupingwa.

Mazingira hayo mawili yanaonesha nia, dhumuni na dhamira ya CHADEMA isivyo nzuri na katika kuweka kumbukumbu sawa, watu hawa watabadili katiba ya nchi ili mojawapo ya hayo mawili lifanyike. Wanaweza kubadili katiba ili waongoze maisha au wapite bila kupingwa. Mwalimu Nyerere aliwahi kusema ukizoea kula nyama ya mtu huwezi kuacha, hivyo ndivyo inavyoonesha kwa watani wetu hao. Uchaguzi wa 2020 tuwahoji hili swali ili mioyo yetu itulie.

5 - 2 - 1977 mpaka leo November 2019

2019 - 1977 = 42

CCM ipo madarakani miaka 42

Tujiulize kwanini mpaka leo chama hiki kimeng'ang'ania Ikulu
 
Back
Top Bottom