johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Sema tu nao wameonyesha kumbe maandamano ya amani yanaruhusiwa.
Lakini sioni lolote litakalofanyika kama zao au majibu kwa akina mama hao kwani kama Mbowe anayeingia Ikulu mara kwa mara kashindwa ndio wawe Bavicha.
Ni vema tu Chadema waendelee kuimarisha Chama chao kuelekea 2025 na wamachame sasa na hivi viporo vya Shujaa Magufuli vitawapotezea Muda bure.
Lakini sioni lolote litakalofanyika kama zao au majibu kwa akina mama hao kwani kama Mbowe anayeingia Ikulu mara kwa mara kashindwa ndio wawe Bavicha.
Ni vema tu Chadema waendelee kuimarisha Chama chao kuelekea 2025 na wamachame sasa na hivi viporo vya Shujaa Magufuli vitawapotezea Muda bure.