johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ninachokishuhudia Mlimani City ni afadhali kabisa ya vile Vyama 14 Marafiki wa CCM ambavyo havifanyagi uchaguzi
Mbowe hata akishinda bado atadharaulika hadi na rafiki zake Ntobi, Wenje, Yeriko, Sugu na Boni Yai
Halafu Kuna Wajinga wanaoamini Sugu atamshinda Dr Tulia PhD wakati yeye mwenyewe anamsaidia Mwamba kuhonga na kuiba Kura
Ahsanteni 🐼
Mbowe hata akishinda bado atadharaulika hadi na rafiki zake Ntobi, Wenje, Yeriko, Sugu na Boni Yai
Halafu Kuna Wajinga wanaoamini Sugu atamshinda Dr Tulia PhD wakati yeye mwenyewe anamsaidia Mwamba kuhonga na kuiba Kura
Ahsanteni 🐼
