Kama Mbowe, Rais mteule wa Zambia Hichelema aliwahi kufunguliwa mashitaka ya Ugaidi

Kama Mbowe, Rais mteule wa Zambia Hichelema aliwahi kufunguliwa mashitaka ya Ugaidi

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Mwaka 2017 Kiongozi wa upinzani nchini Zambia (UPND) Hakainde Hichilema na wafuasi wake watano waliwahi kushitakiwa kwa makosa ya ugaidi kufuatia madai kuwa msafara wao ulizuia msafara wa rais Edgar Lungu, na hivyo kuyaweka maisha ya rais hatarini. Baadaye mastaka hayo yaligeuzwa kuwa ya Uhaini na Ugaidi na kutaka kuipindua serikali, lakini alikuja kuachiwa huru miezi minne baadae baada ya Jumuia ya Madola kuingilia kati.

Mashitaka kama hayo ndiyo yanayomkabili Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini Freeman Mbowe anayeshitakiwa kwa tuhuma za ugaidi, ikumbukwe kuwa Hichilema na chama chake waliwahi kugombea urais mara 5 bila mafanikio kama ilivyo kwa chama cha upinzani nchini Chadema.

Hichilema 2.jpg
 
Hv itakuaj 2025 mkimpa mamluk km Lowasa vile kugombea Urais kwa ticket ya Chama Chenu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wafuasi weng wa CHADEMA n makasuku wao watakaloambiwa na Mwenyekiti wao n sawa tu hamjui kuhoj zaid ya kuwahoj wenzenu CCM [emoji23][emoji23]
 
Kuna kitu ACT mzalendo wanajaribu kukionesha ambacho ni tarajali kwa wao wanajiita "chama kiongozi cha upinzani" /leading opposition party kwa Tanzania. Hii imekaaje hii?
 
Kuna kitu ACT mzalendo wanajaribu kukionesha ambacho ni tarajali kwa wao wanajiita "chama kiongozi cha upinzani" /leading opposition party kwa Tanzania... Hii imekaaje hii??
ACT uilinganishe na Chadema kitaasisi nchi nzima?
 
Hv itakuaj 2025 mkimpa mamluk km Lowasa vile kugombea Urais kwa ticket ya Chama Chenu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wafuasi weng wa CHADEMA n makasuku wao watakaloambiwa na Mwenyekiti wao n sawa tu hamjui kuhoj zaid ya kuwahoj wenzenu CCM [emoji23][emoji23]
Ndivyo mnavyojidanganya.
 
SHIDA YETU
hatuna kiongozi upinzani anayeweza kusimama alikua Lisu baada ya Sept 7 hakuna mwingine
 
Hata kwetu hapa Chama Cha Maangamizi kimeshanyukwa mara nyingi tu ila hujuma kwenye matokeo ya Uchaguzi ndio kunakowaweka madarakani.
 
Back
Top Bottom