Kama mbwai iwe mbwai, viongozi wa Simba vunjeni kibubu mchukueni Mayele na Diarra!

Ndio kwani shida ipo wapi bhana?

Kama hela kwenye kibubu hamna, semeni mashabiki na wanachama tutachanga kuhakikisha Simba inawafanyia umafia na kuivunja vunja yanga kipindi hiki!
Amka bro hiyo ndoto mwisho utajinyea
 
Aahaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…