Kama mchungaji Gwajima ni mjomba wa Flora Mbasha, Kwanini Mbasha hakumuamini?

amakyasya

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2013
Posts
3,480
Reaction score
914
Kama kweli Flora Mbasha anamwita Gwajima mjomba kwa maana ya kuwa ni kaka wa mama yake, kwa nini mumewe alikuwa na wasiwasi naye kuwa ndo chanzo cha mgogoro wa mahusiano ya ndoa yake kwa kuishi naye kwake kisha kumpangia hotel badala ya Flora kwenda kwao?

Ina maana alikuwa hamjui?

Kwa nini Flora kajitokeza sasa kwenye media kueleza uhusiano huo wa kindugu na sio mwanzoni?

Kwa nini Gwajima kama ni mjomba hakumsaidia ada watoto walipokwama akasubiri hadi Flora ametoka kwa mumewe na kwenda kwake?
 
Si mjomba wake ni anko.Mjomba ni kaka aliyezaliwa na mama na anko ni mtu yeyote mwanaume mwenye umri sawa na mzazi wako.
 
umepewa vyote bureee toa bureee...na Mungu wa Danieli....atakuwonaaa#jus singin

Hahaha umenikumbusha album ya LULU ya Mtoni choir..

Ulikujabila kituu bila kituu utaondoka bila kitu, umepewa vyote buree toa buree...
 
Tangu nimesikia utetezi wa huyu dada, ni hakika yaliyosemwa juu yake ni kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…