figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #21
Mkuu, ukisoma juu juu huwezi kuelewa. Ili uelewe hiyo Sentesi, elewa Nape Nnauye kwanini alisema Maharage kupelekwa TTCL ni Mshale kurudi nyumbani. Bado kapelekwa kwenye Wizara hiyo hiyo ya Nape Nnauye. (Nape, Makamba na Mwigulu ni Mapacha Watatu)Hapo sijaelewa kabisa yaani kesi ya nyani unaipeleka kwa ngedere
Huku unasema avunje kila kitu huko Tanesco na mtandao wake wa upigaji
Mwisho tena umejisahau unasema amepelekwa Posta kwa sababu mwarabu yuko huko na yeye haachii madili which is which?
Naona wote umewaweka group moja kuwa wanasaidiana upigaji ila kiaina na Umeme huko kelele zimekuwa nyingi sana
Hilo nalo nawaachia mkaliangalie,,wakulaumiwa ni Rais mwenyewe kwa uzembe huu
Hovyo kabisaHilo nalo nawaachia mkaliangalie,,
Ahsante Kwa info classified.Pale TANESCO kuna tatizo, wafanyakazi wameshajikatia tamaa sababu wanaona Ofisi ya Umma imekuwa Ofisi ya Upigaji kwa Viongozi wa juu.
Maharage alipo pelekwa pale TANESCO, alianzisha mfumo wake wa kupiga hela, akaanzisha Managing Director delivery unit - MDDU. Akaweka watu wake, halafu akawaambia wahame kutoka pale Ubungo, akawapa Full Ofisi pale Kimara.
Kumbuka Rais alikuwa hajui undumilakuwili wa Maharage kwani Maharage kapelekwa TANESCO na Januari Makamba.
View attachment 2762599
Makamba ndo alimpendekeza kwa Rais kwa kumpa sifa kedekede hata ambazo hana ili Rais amuone wa Maana. Kumbe nia ya Makamba ni kuweka mshikaji wake ili Madili yake yapite kirahisi tanesco.
Halafu wakamuomba Rais Samia Trilioni Shilingi zadi ya 11 kwamba wakiipata hiyo hela umeme utatengamaa, wakampa rais mpango kazi feki rais Samia akashitukia dili akakataa. Baadaye Dili likatiki wakapewa Bilioni 500. katengeneza MDDU na Erolink.
Sasa wakawa wanakatakata umeme ili kumtia presha Rais ili aone umuhimu wa kuwapa hela nyingi wanazotaka. Yaani Rais aone tatizo ni kubwa awape Matrilioni wwywchakate🤣
View attachment 2762596
Ukitaka kuwaona washirika wa Maharage, nenda Kimara TANESCO uliza Ofisi ya MDDU ipo wapi.
Wanatengewa hela nyingi na kupewa majukumu yasiyo kuwepo then hela wanagana.
Maharage hata ahamishiwe Nangurukuru bado kuna 10% yake ya fedha za miradi. Lazima wampe. Si kawapa ulaji na hela zao bodi ilipolitisha? Hivyo kila mwezi zinaingia.
Rais angebomoa Cheni yote ya Nishati kianzia katibu Mkuu wao ili wapoteane. Pia wale wote waliopelekwa Tanesco na Maharage, aondoke nao.
Hivyo basi, kama kweli Maharage anahusika na wizi ndani ya TANESCO kwa kupitia hii Unit ya MDDU, basi naomba Rais amstaafishe kwa manufaa ya Umma.
TAKUKURU iingilie kati kwani si vibaya kumchunguza kiongozi. Wakikuta ana makosa awajibike kwa matumizi mabaya ya Ofisi.
Kama tunavyojua, Posta sasa hivi inashirikiana na Mwarabu wa Dubai, kapelekwa apige hela ya Mwarabu. Huwa haachi dili lolote. Sasa hivi Posta inauzwa Mazima
NiaminiMhh...
Lakini mimi waziri wa nishati angeniletea hiyo bajeti ya mradi wa Trillion 11 , ningemuuliza kitu gani anaenda kufanya na tutapata Mega Wat (MG) ngapi ? maana kwa kutazama tu kwa haraka mradi wa Julius Nyerere ambao utazalisha MG 2100 utatumia Trillion 6, ningeshtuka tu.Pale TANESCO kuna tatizo, wafanyakazi wameshajikatia tamaa sababu wanaona Ofisi ya Umma imekuwa Ofisi ya Upigaji kwa Viongozi wa juu.
Maharage alipo pelekwa pale TANESCO, alianzisha mfumo wake wa kupiga hela, akaanzisha Managing Director delivery unit - MDDU. Akaweka watu wake, halafu akawaambia wahame kutoka pale Ubungo, akawapa Full Ofisi pale Kimara.
Kumbuka Rais alikuwa hajui undumilakuwili wa Maharage kwani Maharage kapelekwa TANESCO na Januari Makamba.
View attachment 2762599
Makamba ndo alimpendekeza kwa Rais kwa kumpa sifa kedekede hata ambazo hana ili Rais amuone wa Maana. Kumbe nia ya Makamba ni kuweka mshikaji wake ili Madili yake yapite kirahisi tanesco.
Halafu wakamuomba Rais Samia Trilioni Shilingi zadi ya 11 kwamba wakiipata hiyo hela umeme utatengamaa, wakampa rais mpango kazi feki rais Samia akashitukia dili akakataa. Baadaye Dili likatiki wakapewa Bilioni 500. katengeneza MDDU na Erolink.
Sasa wakawa wanakatakata umeme ili kumtia presha Rais ili aone umuhimu wa kuwapa hela nyingi wanazotaka. Yaani Rais aone tatizo ni kubwa awape Matrilioni wayachakate🤣
View attachment 2762596
Ukitaka kuwaona washirika wa Maharage, nenda Kimara TANESCO uliza Ofisi ya MDDU ipo wapi.
Wanatengewa hela nyingi na kupewa majukumu yasiyo kuwepo then hela wanagawana.
Maharage hata ahamishiwe Nangurukuru bado kuna 10% yake ya fedha za miradi. Lazima wampe. Si kawapa ulaji na hela zao bodi ilipolitisha? Hivyo kila mwezi zinaingia.
Rais angebomoa Cheni yote ya Nishati kianzia katibu Mkuu wao ili wapoteane. Pia wale wote waliopelekwa Tanesco na Maharage, aondoke nao.
Hivyo basi, kama kweli Maharage anahusika na wizi ndani ya TANESCO kwa kupitia hii Unit ya MDDU, basi naomba Rais amstaafishe kwa manufaa ya Umma.
TAKUKURU iingilie kati kwani si vibaya kumchunguza kiongozi. Wakikuta ana makosa awajibike kwa matumizi mabaya ya Ofisi.
Kama tunavyojua, Posta sasa hivi inashirikiana na Mwarabu wa Dubai, kapelekwa apige hela ya Mwarabu. Huwa haachi dili lolote. Safari hii Posta inauzwa Mazima🤣🤣
DUNIA INA WATU WABAYA SANA, MABILIONI YOTE YA UIZI UTAZIKWA NAYO?, TUJIFUNZE KURIDHIKA KWA KIASI TUPATACHO, PIGA CHINI HAWA NA FILISI KABISA!Pale TANESCO kuna tatizo, wafanyakazi wameshajikatia tamaa sababu wanaona Ofisi ya Umma imekuwa Ofisi ya Upigaji kwa Viongozi wa juu.
Maharage alipo pelekwa pale TANESCO, alianzisha mfumo wake wa kupiga hela, akaanzisha Managing Director delivery unit - MDDU. Akaweka watu wake, halafu akawaambia wahame kutoka pale Ubungo, akawapa Full Ofisi pale Kimara.
Kumbuka Rais alikuwa hajui undumilakuwili wa Maharage kwani Maharage kapelekwa TANESCO na Januari Makamba.
View attachment 2762599
Makamba ndo alimpendekeza kwa Rais kwa kumpa sifa kedekede hata ambazo hana ili Rais amuone wa Maana. Kumbe nia ya Makamba ni kuweka mshikaji wake ili Madili yake yapite kirahisi tanesco.
Halafu wakamuomba Rais Samia Trilioni Shilingi zadi ya 11 kwamba wakiipata hiyo hela umeme utatengamaa, wakampa rais mpango kazi feki rais Samia akashitukia dili akakataa. Baadaye Dili likatiki wakapewa Bilioni 500. katengeneza MDDU na Erolink.
Sasa wakawa wanakatakata umeme ili kumtia presha Rais ili aone umuhimu wa kuwapa hela nyingi wanazotaka. Yaani Rais aone tatizo ni kubwa awape Matrilioni wayachakate🤣
View attachment 2762596
Ukitaka kuwaona washirika wa Maharage, nenda Kimara TANESCO uliza Ofisi ya MDDU ipo wapi.
Wanatengewa hela nyingi na kupewa majukumu yasiyo kuwepo then hela wanagawana.
Maharage hata ahamishiwe Nangurukuru bado kuna 10% yake ya fedha za miradi. Lazima wampe. Si kawapa ulaji na hela zao bodi ilipolitisha? Hivyo kila mwezi zinaingia.
Rais angebomoa Cheni yote ya Nishati kianzia katibu Mkuu wao ili wapoteane. Pia wale wote waliopelekwa Tanesco na Maharage, aondoke nao.
Hivyo basi, kama kweli Maharage anahusika na wizi ndani ya TANESCO kwa kupitia hii Unit ya MDDU, basi naomba Rais amstaafishe kwa manufaa ya Umma.
TAKUKURU iingilie kati kwani si vibaya kumchunguza kiongozi. Wakikuta ana makosa awajibike kwa matumizi mabaya ya Ofisi.
Kama tunavyojua, Posta sasa hivi inashirikiana na Mwarabu wa Dubai, kapelekwa apige hela ya Mwarabu. Huwa haachi dili lolote. Safari hii Posta inauzwa Mazima🤣🤣
Ni kwa mujibu wa mkataba wa mwitongo ndio unaompa nguvu.Wa kulaumiwa hapa ni president mwenyewe. Ni muda mrefu sana watu wamekuwa wanapiga makelele kuhusu Makamba. Ila yeye aliamua kuweka pamba masikioni. Mpaka sasa yameshakuwa majanga ndo anajaribu kurepair. It’s too late. Makamba ni mwizi. Mwizi maarufu. Sijui bado anafanya nini kwenye ofisi za umma.