LGE2024 Kama mgombea ni yule Mwenyekiti anayeomba Tsh 2,000 akupe barua ya utambulisho usimchague

LGE2024 Kama mgombea ni yule Mwenyekiti anayeomba Tsh 2,000 akupe barua ya utambulisho usimchague

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827
Usikubari kuwa taahira na zuzu amekuhonga elfu 10 umchague na baada ya uchaguzi ukienda ofisini anachukua elfu 2 kila unapoomba barua ya utambulisho mara ngapi unaenda kuchukua hizo barua ? hakuna sheria ulipie barua za serikali ya mtaa JITAMBUE
 
Wagombea wote wa CCM wanataka madaraka kwa elf 5 kwa ajili ya mhuri
 
Usikubari kuwa taahira na zuzu amekuhonga elfu 10 umchague na baada ya uchaguzi ukienda ofisini anachukua elfu 2 kila unapoomba barua ya utambulisho mara ngapi unaenda kuchukua hizo barua ? hakuna sheria barua za serikali ya mtaa ulipie JITAMBUE
Tatizo hawalipwi mshahara mkuu.
Hawana vyanzo vya mapato, sielewi kwanini watu wanagombania hivyo vyeo!
Au sababu ndiyo hiyo ya kujiombeleza vi2000?
 
Usikubari kuwa taahira na zuzu amekuhonga elfu 10 umchague na baada ya uchaguzi ukienda ofisini anachukua elfu 2 kila unapoomba barua ya utambulisho mara ngapi unaenda kuchukua hizo barua ? hakuna sheria barua za serikali ya mtaa ulipie JITAMBUE
Mgombea ambaye sita mchagua ni yule atakaye wakilisha ccm,
 
asikuombe elf2 wakat mshahara wake ni laki3 na anafamilia[emoji22]
 
Wapi huko ambako bado wanaomba buku mbili?
 
Hapewi mshahara, stationary, posho pia wengi wao nyumba zao zimekuwa ofisi na hawalipwi kodi ya pango, familia zao zimekuwa zikisumbuliwa usiku kucha kusuluhisha kesi za mke /mme, watu wanaogombana tena kesi zingine za walevi. Kwa kweli wanafanya kazi kwenye mazingira magum na wanastahili kuomba hizo buku2
 
Mimi huwa sisuburi aniombe tena huwa simpi elfu 2 bali kianzia elfu 5.

Hana mshahara, hana mahala pa kufisadi kama kina Mwigulu
 
Tatizo hawalipwi mshahara mkuu.
Hawana vyanzo vya mapato, sielewi kwanini watu wanagombania hivyo vyeo!
Au sababu ndiyo hiyo ya kujiombeleza vi2000?
wanuza viwanja, wanakusanya ushuru mdogo mdogo wanatia mfukoni, kesi ndogo ndogo zinazoenda hapo hakuna kutoka bure kianzio ten na kuendelea, wanapata hela nyingi za rushwa rushwa
 
Usikubari kuwa taahira na zuzu amekuhonga elfu 10 umchague na baada ya uchaguzi ukienda ofisini anachukua elfu 2 kila unapoomba barua ya utambulisho mara ngapi unaenda kuchukua hizo barua ? hakuna sheria ulipie barua za serikali ya mtaa JITAMBUE
kwamba hilo ndiyo jambo la maana sana? unatafuta nini na hizo barua hata ulalamikie elf2 tu gentleman?

wewe ni dalali right?🐒
 
Usikubari kuwa taahira na zuzu amekuhonga elfu 10 umchague na baada ya uchaguzi ukienda ofisini anachukua elfu 2 kila unapoomba barua ya utambulisho mara ngapi unaenda kuchukua hizo barua ? hakuna sheria ulipie barua za serikali ya mtaa JITAMBUE
Kama anakuokolea muda kwa hizo tsh 2000, sioni tatizo 🐼
 
Usikubari kuwa taahira na zuzu amekuhonga elfu 10 umchague na baada ya uchaguzi ukienda ofisini anachukua elfu 2 kila unapoomba barua ya utambulisho mara ngapi unaenda kuchukua hizo barua ? hakuna sheria ulipie barua za serikali ya mtaa JITAMBUE
Ukitaka barua ya bure uje na karatasi umeprinti kabisa maana hizi ofisi haziletewi bajeti ya uendeshaji. Huvyo bure bure haipo
 
Hapewi mshahara, stationary, posho pia wengi wao nyumba zao zimekuwa ofisi na hawalipwi kodi ya pango, familia zao zimekuwa zikisumbuliwa usiku kucha kusuluhisha kesi za mke /mme, watu wanaogombana tena kesi zingine za walevi. Kwa kweli wanafanya kazi kwenye mazingira magum na wanastahili kuomba hizo buku2
Sawa mwenyekiti mgombea Kwa utetezi wako dhidi ya kupokea rushwa
 
Watu
Hapewi mshahara, stationary, posho pia wengi wao nyumba zao zimekuwa ofisi na hawalipwi kodi ya pango, familia zao zimekuwa zikisumbuliwa usiku kucha kusuluhisha kesi za mke /mme, watu wanaogombana tena kesi zingine za walevi. Kwa kweli wanafanya kazi kwenye mazingira magum na wanastahili kuomba hizo buku2
wanapiga mabilioni wengine wanazungumzia buku mbili 🙄 !
Buku mbili is nothing hata bia moja kubwa hupati !
 
Hapewi mshahara, stationary, posho pia wengi wao nyumba zao zimekuwa ofisi na hawalipwi kodi ya pango, familia zao zimekuwa zikisumbuliwa usiku kucha kusuluhisha kesi za mke /mme, watu wanaogombana tena kesi zingine za walevi. Kwa kweli wanafanya kazi kwenye mazingira magum na wanastahili kuomba hizo buku2
Hiyo kaz ni ngumu sana,niliwah kuishi karibu na mwenyekiti wa kitongoji yaan kuna baadhi ya siku walikuwa wanakesha usiku kucha wanasuruhisha kesi

Kwa mimi ninaependa kulala siwez
 
Back
Top Bottom