Kama mjanja tuonyeshe iPhone feki kati ya hizi

Kama mjanja tuonyeshe iPhone feki kati ya hizi

Brightg

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2013
Posts
372
Reaction score
662
Hizi iPhone kuna moja feki nyingine original, taja kulia feki au kushoto original tujue kama unatambua hili.
1.Kulia......
2. Kusoto.......

fake-iphone-screen-comparison-780x585.jpg
 
Kuna watu wamekuwa wakiingia mtegoni kushikishwa hizi feki wanauziwa kwa sh 150,000 kwa iphone 6 mwingine anakwambia ina icloud anauza sh elf 50 hadi 100,000.
 
Iyo 1 unayosema ni feki au original, tuambie tofauti kati ya feki na original
Tofauti kubwa ni kwamba original IOS lazima iwe na access ya apple ID,I cloud na apple store na upaweza kuzi access ukishasign in. Ndo maana simu ya kushoto pale juu kabisa inahimiza ku sign in. Huwezi kutumia mpaka usign in. Unaweza kutengeza software interface ifanane na IOS lakini hwezi ku fake apple ID,I cloud,apple store etc etc.
 
Hakuna feki hapo.
Ios fake haipo.

Ya kwanza haina line ila imewekewa cloud
Ya pili hajaunga cloud ila ina line
 
Wajanja na iPhone wapi na wapi?

Hivi iPhone unaweza hata kuweka SD card?
 
Back
Top Bottom