Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,404
- 6,969
Twita kumejaa watu wabaya wanaotukana taifa letu. Watu wasiopenda amani ya taifa letu.
Wengine wana viburi vya kutokamatwa kwa sababu baba zao walikuwa mawaziri na marais
Twita hapafai hata kidogo kwa amani ya taifa letu.
Twita ifungiwe kama porn zilivyofungiwa.
Wengine wana viburi vya kutokamatwa kwa sababu baba zao walikuwa mawaziri na marais
Twita hapafai hata kidogo kwa amani ya taifa letu.
Twita ifungiwe kama porn zilivyofungiwa.