Mdogo wangu nakusaidia jambo dogo sana twita kumejaa vichwa kama ilivyo jf isipokuwa enyi watoto wachache..Umevaa chupi? Naona una hamu.
Wote watu wa porn mna smartphone , shida ya nini kupambana na hawa akina ewura wakatii kuna VPN tena bure tu !Twita kumejaa watu wabaya wanaotukana taifa letu. Watu wasiopenda amani ya taifa letu.
Wengine wana viburi vya kutokamatwa kwa sababu baba zao walikuwa mawaziri na marais
Twita hapafai hata kidogo kwa amani ya taifa letu.
Twita ifungiwe kama porn zilivyofungiwa.
Huridhiki tu? Twitter sio adui wa CCM, adui wa CCM ni mwamko wa Watanzania.Twita kumejaa watu wabaya wanaotukana taifa letu. Watu wasiopenda amani ya taifa letu.
Wengine wana viburi vya kutokamatwa kwa sababu baba zao walikuwa mawaziri na marais
Twita hapafai hata kidogo kwa amani ya taifa letu.
Twita ifungiwe kama porn zilivyofungiwa.
Badoo bado ipo, inatesa na kunesanesaVP bad oo nayo imekula kitasa?
Mbna vpn fureshi au unamaanisha vp nini hiuo?VP bad oo nayo imekula kitasa?
Hapana nilikuwa nauliza tuuMbna vpn fureshi au unamaanisha vp nini hiuo?
Hahahaha[emoji23]Hao wamelenga kumkomoa Askofu Rashid ili akose sehemu ya kuuzia kazi zake pendwa roho mbaya imewajaa