Kama mnatamba kutwa mmesajili Kimataifa, mnafanya mambo haya ya nini?

Kama mnatamba kutwa mmesajili Kimataifa, mnafanya mambo haya ya nini?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Kuroga kwa kukufuru
2. Kutaka kumhonga refa
3. Kutaka kuwapulizia sumu

GENTAMYCINE nakumbusha tu kuwa safari ya kwenda kwao ikiwepo ombeni hata makomandoo 25 wa JWTZ wawasindikize na wakawalinde mkiwa huko kwani kupigwa, kujeruhiwa na kurushiwa mawe au hata risasi ukiwa (ukienda) kwao ni jambo la kawaida mno.

Na mkiona mmeshinda tu kagoli kamoja au tugoli tuwili, nashauri msipoteze muda kwenda kwao. Ongeeni tu na CAF wawape alama tatu zao na muendelee kujiandaa na kumfunga mbovu na mchovu Ihefu FC ndani ya NBC Premier League, kwani mkithubutu kwenda kurudiana nao kwao si tu mtafungwa goli nyingi bali na kipigo (ngumi) mtapigwa mpaka mtapoteana.
 
Tatizo l
1. Kuroga kwa kukufuru
2. Kutaka kumhonga refa
3. Kutaka kuwapulizia sumu

GENTAMYCINE nakumbusha tu kuwa safari ya kwenda kwao ikiwepo ombeni hata makomandoo 25 wa JWTZ wawasindikize na wakawalinde mkiwa huko kwani kupigwa, kujeruhiwa na kurushiwa mawe au hata risasi ukiwa (ukienda) kwao ni jambo la kawaida mno.

Na mkiona mmeshinda tu kagoli kamoja au tugoli tuwili, nashauri msipoteze muda kwenda kwao. Ongeeni tu na CAF wawape alama tatu zao na muendelee kujiandaa na kumfunga mbovu na mchovu Ihefu FC ndani ya NBC Premier League, kwani mkithubutu kwenda kurudiana nao kwao si tu mtafungwa goli nyingi bali na kipigo (ngumi) mtapigwa mpaka mtapoteana.
Tatizo lako unasikiliza sana taarabu,haina maana jitu zima unawazia timu isiyokuhusu hii inaonyesha jinsi gani una mahaba ya ndani kwa ndani na yanga,sasa kwa taarifa yako sisi haturogi kama nyie,na tutawaonyesha yanga ipoje,kilichobaki kwenu ni kashfa na hasira za kijinga kama Huna kazi ya kufanya jiunge na kina mama vicoba huenda ukapewa mtaji,sio unaleta uzi uliojaa chuki,hasira na upunguani mkubwa utazani yanga walikukopa,fanya yako mremboooo...
 
Back
Top Bottom