GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
1. Kuroga kwa kukufuru
2. Kutaka kumhonga refa
3. Kutaka kuwapulizia sumu
GENTAMYCINE nakumbusha tu kuwa safari ya kwenda kwao ikiwepo ombeni hata makomandoo 25 wa JWTZ wawasindikize na wakawalinde mkiwa huko kwani kupigwa, kujeruhiwa na kurushiwa mawe au hata risasi ukiwa (ukienda) kwao ni jambo la kawaida mno.
Na mkiona mmeshinda tu kagoli kamoja au tugoli tuwili, nashauri msipoteze muda kwenda kwao. Ongeeni tu na CAF wawape alama tatu zao na muendelee kujiandaa na kumfunga mbovu na mchovu Ihefu FC ndani ya NBC Premier League, kwani mkithubutu kwenda kurudiana nao kwao si tu mtafungwa goli nyingi bali na kipigo (ngumi) mtapigwa mpaka mtapoteana.
2. Kutaka kumhonga refa
3. Kutaka kuwapulizia sumu
GENTAMYCINE nakumbusha tu kuwa safari ya kwenda kwao ikiwepo ombeni hata makomandoo 25 wa JWTZ wawasindikize na wakawalinde mkiwa huko kwani kupigwa, kujeruhiwa na kurushiwa mawe au hata risasi ukiwa (ukienda) kwao ni jambo la kawaida mno.
Na mkiona mmeshinda tu kagoli kamoja au tugoli tuwili, nashauri msipoteze muda kwenda kwao. Ongeeni tu na CAF wawape alama tatu zao na muendelee kujiandaa na kumfunga mbovu na mchovu Ihefu FC ndani ya NBC Premier League, kwani mkithubutu kwenda kurudiana nao kwao si tu mtafungwa goli nyingi bali na kipigo (ngumi) mtapigwa mpaka mtapoteana.