Jamani naombeni karibu zenu na ushirikiano tosha hodii tena na tenaa!!!!!!!!!!!
jamani mbona mnamuuhukumu mtu pasipo kutenda kosa Paloma
khaaa!!! naona tedo ndio kawa muhanga
umesahau na hapo juu kaka.
sijui ni ndugu yake Da Sophy?
Asantee wangu ila kuna kitu nahtaji kuku elezaa tedo
Kha hadi huku. Si mnache nipumzike mwenzenu! loh!