Aaamke amshike kichwa chake taratibu na kumlaza vizuri katika style ambayo haiblock njia ya hewa! Kama kalala chali check kichwa chake na shingo vimekaaje, mrekebishe!habari za leo wanajamvi, nimekua nikishuhudia kuwa wanaume wengi ndo wanaokoroma kuliko wanawake, je ni kweli? Nini sababu yake? Je kama demu/mkeo/mumeo anakoroma unajisikiaje? Maana nina jirani yangu tumetenganishwa na ukuta mumewe huwa namsikia anakoroma kama kuna mashine ya kusaga nafaka! Sijui huyo anaelalanae anajisikiaje inapotokea hana usingizi.
habari za leo wanajamvi, nimekua nikishuhudia kuwa wanaume wengi ndo wanaokoroma kuliko wanawake, je ni kweli? Nini sababu yake? Je kama demu/mkeo/mumeo anakoroma unajisikiaje? Maana nina jirani yangu tumetenganishwa na ukuta mumewe huwa namsikia anakoroma kama kuna mashine ya kusaga nafaka! Sijui huyo anaelalanae anajisikiaje inapotokea hana usingizi.
Weeee MJ unataka wenzako wafunguliwe kesi?!Maana mwingine ukitaka kumweka vizuri hivyo akashtuka anaweza akakutuhumu kua ulikua unajaribu kumuua!!Aaamke amshike kichwa chake taratibu na kumlaza vizuri katika style ambayo haiblock njia ya hewa! Kama kalala chali check kichwa chake na shingo vimekaaje, mrekebishe!
Weeee MJ unataka wenzako wafunguliwe kesi?!Maana mwingine ukitaka kumweka vizuri hivyo akashtuka anaweza akakutuhumu kua ulikua unajaribu kumuua!!
mwanajamii nimeipenda hii yako, ningefanyiwa hivyo ningezidisha malavidavi sana ila ukweli ni kuwa siku nikikoroma mai waifu wangu huwa ananipiga vikumbo vya hatari tena kimya kimya, nikisikia maumivu ya mbavu nashtuka najua alichofanya alafu nauchuna. Asubuhi nikiamka utasikia 'Mpenzi umelalaje leo?' naamua kuwa mpole!"Mpenzi pole naona umelala vibaya.............unamkandamiza na buzu la paji la uso"!!
mwanajamii nimeipenda hii yako, ningefanyiwa hivyo ningezidisha malavidavi sana ila ukweli ni kuwa siku nikikoroma mai waifu wangu huwa ananipiga vikumbo vya hatari tena kimya kimya, nikisikia maumivu ya mbavu nashtuka najua alichofanya alafu nauchuna. Asubuhi nikiamka utasikia 'Mpenzi umelalaje leo?' naamua kuwa mpole!
mhh kama wanalala hivyo wanatofauti gani na akina sieHili ni tatizo kubwa sana ambalo limesababisha hata nyumba zinazojengwa siku hizi kuwa na master bedroom mbili. Mume ana chumba chake na mke ana chumba chake ili yule anayekoroma au kugeuka geuka sana usiku au kuamka mara kenda washroom, mara kenda kunywa maji mara anataka kuchungulia JF nini kinaendelea afanye hivyo bila "kumbugudhi" mwenzie. Wakitaka kunanihii mmoja anaenda kwenye chumba cha mwenzie wakishamaliza anarudi chumbani kwake!!!!
hili ni tatizo kubwa sana ambalo limesababisha hata nyumba zinazojengwa siku hizi kuwa na master bedroom mbili. Mume ana chumba chake na mke ana chumba chake ili yule anayekoroma au kugeuka geuka sana usiku au kuamka mara kenda washroom, mara kenda kunywa maji mara anataka kuchungulia jf nini kinaendelea afanye hivyo bila "kumbugudhi" mwenzie. Wakitaka kunanihii mmoja anaenda kwenye chumba cha mwenzie wakishamaliza anarudi chumbani kwake!!!!
mhh kama wanalala hivyo wanatofauti gani na akina sie
tuso na ndoa!Fafanua Shosti sijakupata
mkuu hao wazungu
hata kama chumba kimoja,kila mtu na toilet yake....
Na marufuku mtu kuingia toilet ya mwenzake lol
wanazidi kuongeza mipaka tu ya wanandoa. Si ajabu miaka ijayo watasema tunaoana lakini kila mtu anaishi kwake ili kupunguza purukushani za ndani ya ndoa.
Weeee BOSS hii kitu ya Wayahudi umesikia wapi?!Mi najua wanafanya kama wengine tu!!mimi huwa nacheka na wayahudi siasa kali...Wao hawasex mpaka wanapotafuta mtoto..Na wakati wa sex,wanaweka shuka in between,linatobolewa tundukidogo kwa ajili ya kupitisha kitu kwenda kwa mama.....lolimani zingine kama wehu hivi lol
mimi huwa nacheka na wayahudi siasa kali...
Wao hawasex mpaka wanapotafuta mtoto..
Na wakati wa sex,wanaweka shuka in between,linatobolewa tundu
kidogo kwa ajili ya kupitisha kitu kwenda kwa mama.....lol
imani zingine kama wehu hivi lol
mimi huwa nacheka na wayahudi siasa kali...
Wao hawasex mpaka wanapotafuta mtoto..
Na wakati wa sex,wanaweka shuka in between,linatobolewa tundu
kidogo kwa ajili ya kupitisha kitu kwenda kwa mama.....lol
imani zingine kama wehu hivi lol