uroto
JF-Expert Member
- Jun 25, 2015
- 442
- 227
Habari zenu ndugu wapendwa
Niende kwenye mada
Kutokana na hali kuwa ngumu kwa upande wangu,basi nadhubutu kusema nimekomaa kwa umasikini,nina vigezo vyote vya kuitwaasikini,
kama ni mpira basi ningekua EPL au LA LIGA nna sifa zote,kama ni mziki ningekua Jay z au kendrick au 50 cent n.k
ila kwakuwa hali ni ngumu nna hadhi ya kuitwa MSINA CHA KUSORA
UMASIKINI MBAYA SANA
Niende kwenye mada
Kutokana na hali kuwa ngumu kwa upande wangu,basi nadhubutu kusema nimekomaa kwa umasikini,nina vigezo vyote vya kuitwaasikini,
kama ni mpira basi ningekua EPL au LA LIGA nna sifa zote,kama ni mziki ningekua Jay z au kendrick au 50 cent n.k
ila kwakuwa hali ni ngumu nna hadhi ya kuitwa MSINA CHA KUSORA
UMASIKINI MBAYA SANA