NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Kutokana na mashabiki wa Simba SC kukomaza mishipa ya Shingo na kutokwa povu la mdomo.
Kusema kuwa Yanga SC "inataka kutoa watu/viongozi/shabiki maarufu wa timu ndiyo ishinde mechi ya Algeria na ichukue kombe"
Hiyo kauli imenifanya nikumbuke mechi ya Simba vs Raja Casablanca ambapo Simba alichezea kichapo Cha tatu (3) kwa mtungi.
Kabla ya mechi makomandoo wa Simba waliweka guard /walikesha usiku kucha na wakichimba uwanja na kuweka vitu visivyo julikana.
Na wakati timu inaingia uwanjani tulishuhudia tukio la ajabu baada ya dereva kuingiza timu kinyume nyume lakini bado Raja Casablanca wakaichapa Simba bao tatu.
Kutokana na scenario hiyo inatufundisha mpira siyo uchawi /Imani zakishirikina Bali mpira ni kuwekeza/ kutengeneza benchi la ufundi imara na kusajili professional players.
Kila shabiki wa Simba SC mwenye akili timamu/asiyeamini uchawi hushinikiza viongozi wa Simba SC wasajili wachezaji wazuri ili walete makombe kwenye timu yao.
My take: Kama mpira ni uchawi/ushirikina Kama mnavyoamini hakuna haja ya kumtimua Sawadogo, okrah Akpan nk. Inawapaswa kuwaacha tu ili mtumie uchawi wenu huo mnao uamini kuchukua makombe.
Naitakia Kila la heri Yanga SC katika michuano ya fainali huko Algeria.
Kusema kuwa Yanga SC "inataka kutoa watu/viongozi/shabiki maarufu wa timu ndiyo ishinde mechi ya Algeria na ichukue kombe"
Hiyo kauli imenifanya nikumbuke mechi ya Simba vs Raja Casablanca ambapo Simba alichezea kichapo Cha tatu (3) kwa mtungi.
Kabla ya mechi makomandoo wa Simba waliweka guard /walikesha usiku kucha na wakichimba uwanja na kuweka vitu visivyo julikana.
Na wakati timu inaingia uwanjani tulishuhudia tukio la ajabu baada ya dereva kuingiza timu kinyume nyume lakini bado Raja Casablanca wakaichapa Simba bao tatu.
Kutokana na scenario hiyo inatufundisha mpira siyo uchawi /Imani zakishirikina Bali mpira ni kuwekeza/ kutengeneza benchi la ufundi imara na kusajili professional players.
Kila shabiki wa Simba SC mwenye akili timamu/asiyeamini uchawi hushinikiza viongozi wa Simba SC wasajili wachezaji wazuri ili walete makombe kwenye timu yao.
My take: Kama mpira ni uchawi/ushirikina Kama mnavyoamini hakuna haja ya kumtimua Sawadogo, okrah Akpan nk. Inawapaswa kuwaacha tu ili mtumie uchawi wenu huo mnao uamini kuchukua makombe.
Naitakia Kila la heri Yanga SC katika michuano ya fainali huko Algeria.