My Honest Book JF-Expert Member Joined Jul 7, 2015 Posts 1,363 Reaction score 2,161 Dec 18, 2022 #1 Ndiyo hivyo me sina mambo mengi ya kusema, siwezi kukosa hii burudani kubwa Duniani eti kwasababu we unasema mpira ni ushetani. Na haya maimani mko nayo nyie maskini, matajiri wanaenjoy burudani Duniani.
Ndiyo hivyo me sina mambo mengi ya kusema, siwezi kukosa hii burudani kubwa Duniani eti kwasababu we unasema mpira ni ushetani. Na haya maimani mko nayo nyie maskini, matajiri wanaenjoy burudani Duniani.
Mokaze JF-Expert Member Joined Aug 3, 2018 Posts 14,370 Reaction score 14,929 Dec 18, 2022 #2 Son Of Andrew said: Ndo ivo me sina mambo mengi ya kusema,siwezi kukosa hii burudani kubwa duniani eti kwasababu we unasema mpira ni ushetani Na haya maimani mko nayo nyie maskini,matajiri wanaenjoy burudani duniani Click to expand... Umekumbwa na pepo gani mkuu??!!😀
Son Of Andrew said: Ndo ivo me sina mambo mengi ya kusema,siwezi kukosa hii burudani kubwa duniani eti kwasababu we unasema mpira ni ushetani Na haya maimani mko nayo nyie maskini,matajiri wanaenjoy burudani duniani Click to expand... Umekumbwa na pepo gani mkuu??!!😀
S Showmax JF-Expert Member Joined Nov 18, 2022 Posts 6,592 Reaction score 12,707 Dec 18, 2022 #3 Kakwambia nani tajiri hana imani
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,229 Reaction score 50,144 Dec 18, 2022 #4 Uzi tayari
Nyenyere JF-Expert Member Joined Sep 9, 2010 Posts 14,804 Reaction score 10,715 Dec 18, 2022 #5 JF ni kama kokoro, limekusanya mpaka vichaa na mataahira.
DR SANTOS JF-Expert Member Joined Mar 11, 2019 Posts 12,846 Reaction score 28,106 Dec 18, 2022 #6 Son Of Andrew said: Ndo ivo me sina mambo mengi ya kusema,siwezi kukosa hii burudani kubwa duniani eti kwasababu we unasema mpira ni ushetani Na haya maimani mko nayo nyie maskini,matajiri wanaenjoy burudani duniani Click to expand... 🤣🤣🤣
Son Of Andrew said: Ndo ivo me sina mambo mengi ya kusema,siwezi kukosa hii burudani kubwa duniani eti kwasababu we unasema mpira ni ushetani Na haya maimani mko nayo nyie maskini,matajiri wanaenjoy burudani duniani Click to expand... 🤣🤣🤣