kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Kama kweli wewe ni mfatiliaji mzuri timu ya Yanga. Mara nyingi Fiston Mayele amekuwa akiingia golini kwa wapinzani na kugusa nyavu zao.
Na akimaliza kugusa nyavu kinachotokea kwa mpinzani ni kiama tosha yaani ni lazima ufunge goli
Je huu ni uchawi au ni mbwembwe tu
Na akimaliza kugusa nyavu kinachotokea kwa mpinzani ni kiama tosha yaani ni lazima ufunge goli
Je huu ni uchawi au ni mbwembwe tu