kama msikiti upo kwenye jezi why not kanisa jamani?

kama msikiti upo kwenye jezi why not kanisa jamani?

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Dah hizi dharau sasa, msikiti wa Idrissa umewekwa kwenye jezi lakini hata kanisa la azania limeshindikana kweli bwana Ngowi, au ni maelekezo maalumu toka salamander maana hata wao umewaweka kwenye jezi

kama utatengeneza za FA usisahau basi kanisa au hata mwamposa umuweke ndugu yangu na mwakalebelea pia weight yake itavutia kwenye jezi

Hongera sana jezi haina makorokoro kabisa zile ni nakshi tu
 
Dah hizi dharau sasa, msikiti wa Idrissa umewekwa kwenye jezi lakini hata kanisa la azania limeshindikana kweli bwana Ngowi, au ni maelekezo maalumu toka salamander maana hata wao umewaweka kwenye jezi

kama utatengeneza za FA usisahau basi kanisa au hata mwamposa umuweke nugu yangu na mwakalebelea pia weight yake itavutia kwenye jezi

Hongera sana jezi haina makorokoro kabisa zile ni nakshi tu
Duh!!! Sjachunguza sana ila nahs kanisa lipo bhana
 
Tuwekee tuuone
20220729_072811.jpg
 
Dah hizi dharau sasa, msikiti wa Idrissa umewekwa kwenye jezi lakini hata kanisa la azania limeshindikana kweli bwana Ngowi, au ni maelekezo maalumu toka salamander maana hata wao umewaweka kwenye jezi

kama utatengeneza za FA usisahau basi kanisa au hata mwamposa umuweke ndugu yangu na mwakalebelea pia weight yake itavutia kwenye jezi

Hongera sana jezi haina makorokoro kabisa zile ni nakshi tu
#Wagalatia hacheni kuishabikia Yanga, mwenye macho haambiwi tizama [emoji125]
 
Mwaka Jana jezi zetu zilikuwa na watu,mwaka huu wale watu wwlameshajenga nyumba,mwakani tanesco wanaweka wayaringi kisha watu wanahamia😅😅
 
Dah hizi dharau sasa, msikiti wa Idrissa umewekwa kwenye jezi lakini hata kanisa la azania limeshindikana kweli bwana Ngowi, au ni maelekezo maalumu toka salamander maana hata wao umewaweka kwenye jezi

kama utatengeneza za FA usisahau basi kanisa au hata mwamposa umuweke ndugu yangu na mwakalebelea pia weight yake itavutia kwenye jezi

Hongera sana jezi haina makorokoro kabisa zile ni nakshi tu
Am sorry! 🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮
 
Aisee hata mm nimeona msikiti upo japokuwa sio vzr kuleta udini katika mpira mnasahau kanisa yaan angalia vzr kuna mpk makaburi nimeyaona
 
Aisee hata mm nimeona msikiti upo japokuwa sio vzr kuleta udini katika mpira mnasahau kanisa yaan angalia vzr kuna mpk makaburi nimeyaona
Halafu likiwekwa kanisa fulani, mtasema mbona kanisa lingine halijawekwa! Yaani utafikiri hayo makanisa na misikiti ndiyo itakayocheza uwanjani msimu ujao!

Hivi ni kwa nini Watanzania tunapenda sana kujali vitu vidogo vidogo, na visivyo na
tija?
 
Halafu likiwekwa kanisa fulani, mtasema mbona kanisa lingine halijawekwa! Yaani utafikiri hayo makanisa na misikiti ndiyo itakayocheza uwanjani msimu ujao!

Hivi ni kwa nini Watanzania tunapenda sana kujali vitu vidogo vidogo, na visivyo na
tija?
IKISHINDIKANA hata steve nyerere basi
 
Duh... Yanga nasikia wamepiga kura wavae jezi gani siku ya Wananchi....Wote hawataki mijezi yenye mijumba na ile yenye tandabui wamechagua nyeusi....!

Sheria Ngowi huu sio mpango mkakati kweli..?
 
Mtoa Uzi una point maana, ata soko la ferry amelisahau kuliweka na hata bustani ya mnazi mmoja mbona pia hajaweka yaan huyu ngowi chenga sanaaa
 
Halafu likiwekwa kanisa fulani, mtasema mbona kanisa lingine halijawekwa! Yaani utafikiri hayo makanisa na misikiti ndiyo itakayocheza uwanjani msimu ujao!

Hivi ni kwa nini Watanzania tunapenda sana kujali vitu vidogo vidogo, na visivyo na
tija?
Swali kwanini wameweka msikiti?
 
Back
Top Bottom