njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Duh!!! Sjachunguza sana ila nahs kanisa lipo bhanaDah hizi dharau sasa, msikiti wa Idrissa umewekwa kwenye jezi lakini hata kanisa la azania limeshindikana kweli bwana Ngowi, au ni maelekezo maalumu toka salamander maana hata wao umewaweka kwenye jezi
kama utatengeneza za FA usisahau basi kanisa au hata mwamposa umuweke nugu yangu na mwakalebelea pia weight yake itavutia kwenye jezi
Hongera sana jezi haina makorokoro kabisa zile ni nakshi tu
kanisa hawajaweka udini wao mbaya sana ..kama azania hawajalipenda si waweke hata tanganyika packers kwa mwamposaDuh!!! Sjachunguza sana ila nahs kanisa lipo bhana
Tuwekee tuuone
#Wagalatia hacheni kuishabikia Yanga, mwenye macho haambiwi tizama [emoji125]Dah hizi dharau sasa, msikiti wa Idrissa umewekwa kwenye jezi lakini hata kanisa la azania limeshindikana kweli bwana Ngowi, au ni maelekezo maalumu toka salamander maana hata wao umewaweka kwenye jezi
kama utatengeneza za FA usisahau basi kanisa au hata mwamposa umuweke ndugu yangu na mwakalebelea pia weight yake itavutia kwenye jezi
Hongera sana jezi haina makorokoro kabisa zile ni nakshi tu
Wagalatia hawako hivyo, sio watu wa kuzira na kununa#Wagalatia hacheni kuishabikia Yanga, mwenye macho haambiwi tizama [emoji125]
Am sorry! ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎDah hizi dharau sasa, msikiti wa Idrissa umewekwa kwenye jezi lakini hata kanisa la azania limeshindikana kweli bwana Ngowi, au ni maelekezo maalumu toka salamander maana hata wao umewaweka kwenye jezi
kama utatengeneza za FA usisahau basi kanisa au hata mwamposa umuweke ndugu yangu na mwakalebelea pia weight yake itavutia kwenye jezi
Hongera sana jezi haina makorokoro kabisa zile ni nakshi tu
rudi hapa wewe TOPOLO, why msikiti upo na kanisa hakuna?Am sorry! ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ
Halafu likiwekwa kanisa fulani, mtasema mbona kanisa lingine halijawekwa! Yaani utafikiri hayo makanisa na misikiti ndiyo itakayocheza uwanjani msimu ujao!Aisee hata mm nimeona msikiti upo japokuwa sio vzr kuleta udini katika mpira mnasahau kanisa yaan angalia vzr kuna mpk makaburi nimeyaona
IKISHINDIKANA hata steve nyerere basiHalafu likiwekwa kanisa fulani, mtasema mbona kanisa lingine halijawekwa! Yaani utafikiri hayo makanisa na misikiti ndiyo itakayocheza uwanjani msimu ujao!
Hivi ni kwa nini Watanzania tunapenda sana kujali vitu vidogo vidogo, na visivyo na
tija?
Swali kwanini wameweka msikiti?Halafu likiwekwa kanisa fulani, mtasema mbona kanisa lingine halijawekwa! Yaani utafikiri hayo makanisa na misikiti ndiyo itakayocheza uwanjani msimu ujao!
Hivi ni kwa nini Watanzania tunapenda sana kujali vitu vidogo vidogo, na visivyo na
tija?