kama mtu katoa mimba ya mwezi mmoja

habari za muda wana jf dr
naomba kuuliza kama mtu katoa momba ya mwezi mmoja hivi alafu akawa na tatizo la kuvuja damu kwa kipindi kama cha wiki mbili na zaidi tatizo linaweza kuwa nn?? na atumie dawa gani/tiba gani??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…