Kama mume tahadhali usiache kumchunguza mke wako hasa kipindi cha ujana. Utanishukuru.

Kama mume tahadhali usiache kumchunguza mke wako hasa kipindi cha ujana. Utanishukuru.

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Kuna misemo mingi katika jamii ikihamasisha wanandoa waishi tu kwa kuaminiana, watu wasichunguzane ili ndoa zao zidumu muda mwingi. Kama kuna kirusi kimeingia katika ndoa kupitia mke wako ukichelewa kukijua na kukiondoa mapema umekwisha. Wanawake nawajua vyema, ni waelewa na wanakanyika lakini kuna stage ikifika hawawezi kukanyika tena hata uite masheikh laki tatu.

Kwenye ndoa yangu ya miaka 8 nimewahi kuona wife anachati na mtu wa kwao Facebook, ni kijana ambaye hawafahamiani ila ni kabila moja wanaotoka wilaya moja. Kwenye chatting wife alikuwa mgumu maana jamaa alimtaka waonane akiwa likizo maana yuko nje ya mkoa wao kikazi kama mwalimu. Wife alisema ananiogopa hivyo kuonana itakuwa ngumu. Kwa ufahamu wangu nikagundua kama ile chatting ingedumu angalau kwa mwezi mmoja tayari nilikuwa nakwenda kuchapiwa.

Nikamvuta wife nikamwonya nikamwambia unakoelekea kubaya nitakuacha katika mazingira ambayo hutaamini. Nikamwambia kama tu ungekubali kuwa mtaonana ndio ingekuwa talaka yako .Tukaongea tukayamaliza.

Jambo ambalo nilimwonya wife kabla hata hatujaoana ni kwamba siku akitombwa nje na nikajua msamaha wake ni kumfukuza nyumbani na hataondoka na kitu chochote, hata kuku mmoja hatabeba. Kila baada ya mwaka mmoja au 2 namkumbusha hilo jambo. Mwanamke akikolea na mboo ya nje umekwisha, ataishi na wewe kinafiki tu na kama ana uhakika wa mshahara wake au biashara yake iko stable ataanza kukufanyia jeuri ili tu umwache awe free
.
Cases ni nyingi. Moja ilitokea Makete kijiji cha Uwanji mke aliponogewa na mjegeje wa nje kashirikiana na mpenzi kumuua mume halali ili wainjoi maisha. Kweli walimuua kwa kumpiga na jiwe akiwa usingizini.

Kauli kama una wivu wa kijinga utaanza kuzisikia. Hata sumu inayoua kidogokidogo utaipata​
 
I thought you wide several cases za kujifunza kumbe ni specific kwako tena once 🤣🤣🤣
 
Vitabu vya dini vinasema tuishi nao kwa akili.
 
Mbona inaonekana kama wewe ndio unamhitaji sana huyo mwanamke kwenye maisha yako Mkuu?.

Hii yote ni juhudi za kumchunga mke asichepuke, ma broo lia lia mnateseka sana Wakuu
 
Mfano mimi ni nabii, kuowa si inakua rahis sana, unatizama tu mambo ya huyo mke kwa jicho la kinabii, unajua tabia yake yoteee
 
Apataye mke amepata kitu, chema
Ila ishini nao kwa akili
 
Huyo mkeo kwao hakuna hata kuku🙄, unamnyanyasa kwa umasikini wake. Sad.
 
Vitabu vya dini vinasema tuishi nao
Tunaishi nao hivyo hivyo nyumbani kwetu ukisema 'kwa akili' huyo 'akili' ni mtu wa tatu kwa hio jua jinsi ya kufungua code za biblia, kwa hio inabidi usiishi nae kwako uende ukaishi nae kwa 'akili' hapo 'akili' ni mtu wa tatu
 
Kuna misemo mingi katika jamii ikihamasisha wanandoa waishi tu kwa kuaminiana, watu wasichunguzane ili ndoa zao zidumu muda mwingi.
Kama kuna kirusi kimeingia katika ndoa kupitia mke wako ukichelewa kukijua na kukiondoa mapema umekwisha.
Wanawake nawajua vyema, ni waelewa na wanakanyika lakini kuna stage ikifika hawawezi kukanyika tena hata uite masheikh laki tatu.
Kwenye ndoa yangu ya miaka 8 nimewahi kuona wife anachati na mtu wa kwao Facebook, ni kijana ambaye hawafahamiani ila ni kabila moja wanaotoka wilaya moja.
Kwenye chatting wife alikuwa mgumu maana jamaa alimtaka waonane akiwa likizo maana yuko nje ya mkoa wao kikazi kama mwalimu.
Wife alisema ananiogopa hivyo kuonana itakuwa ngumu.
Kwa ufahamu wangu nikagundua kama ile chatting ingedumu angalau kwa mwezi mmoja tayari nilikuwa nakwenda kuchapiwa.
Nikamvuta wife nikamwonya nikamwambia unakoelekea kubaya nitakuacha katika mazingira ambayo hutaamini.
Nikamwambia kama tu ungekubali kuwa mtaonana ndio ingekuwa talaka yako .
Tukaongea tukayamaliza.
Jambo ambalo nilimwonya wife kabla hata hatujaoana ni kwamba siku akitombwa nje na nikajua msamaha wake ni kumfukuza nyumbani na hataondoka na kitu chochote, hata kuku mmoja hatabeba.
Kila baada ya mwaka mmoja au 2 namkumbusha hilo jambo.
Mwanamke akikolea na mboo ya nje umekwisha, ataishi na wewe kinafiki tu na kama ana uhakika wa mshahara wake au biashara yake iko stable ataanza kukufanyia jeuri ili tu umwache awe free .
Cases ni nyingi. Moja ilitokea Makete kijiji cha Uwanji mke aliponogewa na mjegeje wa nje kashirikiana na mpenzi kumuua mume halali ili wainjoi maisha.
Kweli walimuua kwa kumpiga na jiwe akiwa usingizini.
Kauli kama una wivu wa kijinga utaanza kuzisikia.
Hata sumu inayoua kidogokidogo utaipata
Hi ni tukio lako wewe, mbona kama una lazimisha kuwa na wwngine wapo kama wa kwako? Kwani wewe upo kama wengine?
 
Kuna misemo mingi katika jamii ikihamasisha wanandoa waishi tu kwa kuaminiana, watu wasichunguzane ili ndoa zao zidumu muda mwingi.
Kama kuna kirusi kimeingia katika ndoa kupitia mke wako ukichelewa kukijua na kukiondoa mapema umekwisha.
Wanawake nawajua vyema, ni waelewa na wanakanyika lakini kuna stage ikifika hawawezi kukanyika tena hata uite masheikh laki tatu.
Kwenye ndoa yangu ya miaka 8 nimewahi kuona wife anachati na mtu wa kwao Facebook, ni kijana ambaye hawafahamiani ila ni kabila moja wanaotoka wilaya moja.
Kwenye chatting wife alikuwa mgumu maana jamaa alimtaka waonane akiwa likizo maana yuko nje ya mkoa wao kikazi kama mwalimu.
Wife alisema ananiogopa hivyo kuonana itakuwa ngumu.
Kwa ufahamu wangu nikagundua kama ile chatting ingedumu angalau kwa mwezi mmoja tayari nilikuwa nakwenda kuchapiwa.
Nikamvuta wife nikamwonya nikamwambia unakoelekea kubaya nitakuacha katika mazingira ambayo hutaamini.
Nikamwambia kama tu ungekubali kuwa mtaonana ndio ingekuwa talaka yako .
Tukaongea tukayamaliza.
Jambo ambalo nilimwonya wife kabla hata hatujaoana ni kwamba siku akitombwa nje na nikajua msamaha wake ni kumfukuza nyumbani na hataondoka na kitu chochote, hata kuku mmoja hatabeba.
Kila baada ya mwaka mmoja au 2 namkumbusha hilo jambo.
Mwanamke akikolea na mboo ya nje umekwisha, ataishi na wewe kinafiki tu na kama ana uhakika wa mshahara wake au biashara yake iko stable ataanza kukufanyia jeuri ili tu umwache awe free .
Cases ni nyingi. Moja ilitokea Makete kijiji cha Uwanji mke aliponogewa na mjegeje wa nje kashirikiana na mpenzi kumuua mume halali ili wainjoi maisha.
Kweli walimuua kwa kumpiga na jiwe akiwa usingizini.
Kauli kama una wivu wa kijinga utaanza kuzisikia.
Hata sumu inayoua kidogokidogo utaipata

Huwezi ondoa chochote kwa mwanamke, ingia kwenye ndoa kama soldier ukijua chochote chawezekana, weka ukingo kwenye moyo wako, usipende sana!
 
Jambo ambalo nilimwonya wife kabla hata hatujaoana ni kwamba siku akitombwa nje na nikajua msamaha wake ni kumfukuza nyumbani na hataondoka na kitu chochote, hata kuku mmoja hatabeba.
Haukupaswa kumwambia mke wako maneno kama eti utamfukuza na hataondoka na kitu chochote. Hiyo kauli ni rahisi imekaa kiubinafsi sana. Umemtengenezea picha kwamba hapo ni kwako na hapamuhusu yeye ni kama mpangaji tu.

Ndio maana wanawake wanajenga kwao kisiri siri kwa sababu ya wanaume wenye tabia kama zako. Badilika acha ukorofi wa KIPUMBAVU.
 
Back
Top Bottom