Kama Mungu aliumba mbingu na dunia, sayari nyingine je?

Nina uhakika hakuna atakaye kujibu hili swali.
 
Weka andiko mkuu kusaport hoja yako
 
Mkuu naomba utambue kwanza maana ya mbingu kama utaelewa mbingu no juu haiana haja ya kujadili sana wakati ukijua wazi kwamba angani ndio kuna hizo sayar mbaramwez na kila kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…