Kama mwananchi wa kawaida naiomba Serikali inieleze kiasi cha madeni nchi inayodaiwa

Kama mwananchi wa kawaida naiomba Serikali inieleze kiasi cha madeni nchi inayodaiwa

Koryo2

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2016
Posts
2,056
Reaction score
2,519
Kama mwananchi wa kawaida ninatakiwa kujua madeni yote tunayodaiwa kama nchi.

Tangu awamu ya Sita iingie madarakani haipiti hata mwezi mmoja utasikia nchi ya Tanzania imekopa matrillioni kadhaa Hii tabia hatukuiona Awamu ya Tano na miradi ilikuwa inajengwa kama kawaida.

Leo sikuamini macho yangu niliposoma kuwa Tanzania imekopa Trillioni 2.4 kutoka IMF.

Kwa nini kila wakati mkopo na mlipaji ni mwananchi.

Wabunge amkeni na kukataa tabia hii ya kukopa kila wakati.
 
Nenda chato kachimbe shimo jifukie

Nyie ndio msiojulikana enzi za Mwendazake,
 
Kama mwananchi wa kawaida ninatakiwa kujua madeni yote tunayodaiwa kama nchi.

Tangu awamu ya Sita iingie madarakani haipiti hata mwezi mmoja utasikia nchi ya Tanzania imekopa matrillioni kadhaa Hii tabia hatukuiona Awamu ya Tano na miradi ilikuwa inajengwa kama kawaida.

Leo sikuamini macho yangu niliposoma kuwa Tanzania imekopa Trillioni 2.4 kutoka IMF.

Kwa nini kila wakati mkopo na mlipaji ni mwananchi.

Wabunge amkeni na kukataa tabia hii ya kukopa kila wakati.


Nikumbushe mara ya mwisho ulipogongewa mlango nyumbani kwako au kupigiwa simu ukaambiwa ulipe hata 50k kama repayment ya mkopo wa serikali.
 
Back
Top Bottom