Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
I declare Interest. Mimi ni Mwanayanga mpenzi wa mchezo wa Mpira wa Miguu.
Nmemsikia Tarimba Abas akiwa Bungeni na pia akihojiwa na vyombo vya habari. Ukimwona Bwana Tarimba kabla hajaongea unaweza sema atakuwa na Busara au Akili.
Akija kuongea utasikitika na kujiuliza kwa nini ameongea? Ni bora angenyamaza tumchukulie kuwa ana akili au busara kuliko kuongea na kutu prove tuliomfikira hivyo wrong.
Mimi kama Mwanayanga mwenye akili siwezi mpigia kuta Tarimba Abas wa nafasi yoyote pale TFF na hata inashangaza alipataje Ubunge.
Tuchagueni watu wenye akili kama akina Aly Mayai n.k but kama ikishindikana abaki Karia. Mimi sioni anachoipendelea Simba. Haya ni mawazo mfu kabisa. Mpira wa Simba inaonekana uwanjani. Wameenda mpaka Nafasi ya robo fainali Ligi ya Mabingwa leo unasema wanabebwa na TFF? hii akili ya wapi?
Simba imepoteza matches mbili kwenye ligi haikumlaumu mtu zaidi ya Wachezaji wake. Kipindi Yanga tunaongoza na hatujapoteza match hata moja. Tukianza poteana anatafutwa mtu wa kumwangushia jumba bovu.
La kusikitisha hata hawa watu tulidhani wangekuwa na akili kumbe nao ndo walewale. Alisema rafiki yangu mmoja "Hata Wapumbavu nao Huzeeka"
Nmemsikia Tarimba Abas akiwa Bungeni na pia akihojiwa na vyombo vya habari. Ukimwona Bwana Tarimba kabla hajaongea unaweza sema atakuwa na Busara au Akili.
Akija kuongea utasikitika na kujiuliza kwa nini ameongea? Ni bora angenyamaza tumchukulie kuwa ana akili au busara kuliko kuongea na kutu prove tuliomfikira hivyo wrong.
Mimi kama Mwanayanga mwenye akili siwezi mpigia kuta Tarimba Abas wa nafasi yoyote pale TFF na hata inashangaza alipataje Ubunge.
Tuchagueni watu wenye akili kama akina Aly Mayai n.k but kama ikishindikana abaki Karia. Mimi sioni anachoipendelea Simba. Haya ni mawazo mfu kabisa. Mpira wa Simba inaonekana uwanjani. Wameenda mpaka Nafasi ya robo fainali Ligi ya Mabingwa leo unasema wanabebwa na TFF? hii akili ya wapi?
Simba imepoteza matches mbili kwenye ligi haikumlaumu mtu zaidi ya Wachezaji wake. Kipindi Yanga tunaongoza na hatujapoteza match hata moja. Tukianza poteana anatafutwa mtu wa kumwangushia jumba bovu.
La kusikitisha hata hawa watu tulidhani wangekuwa na akili kumbe nao ndo walewale. Alisema rafiki yangu mmoja "Hata Wapumbavu nao Huzeeka"