Kama mwenye nyumba anakaa mbali ni lazima kumtumia na ya kutolea?

Kama mwenye nyumba anakaa mbali ni lazima kumtumia na ya kutolea?

sue bae

Member
Joined
Aug 16, 2022
Posts
21
Reaction score
13
Habari wana JamiiForums, kuna jambo lanitatiza Naombeni majibu yenu.

Mfano umepanga nyumba na mwenye nyumba wako anaishi mkoa mwingine tofauti na uishio wewe, ukiwa unamtumia kodi ya nyumba je, ni lazima kumtumia na ya kutolea?
 
Tuma kama ada ya shule, hakuna ya kutolea.
 
Habari wana jamii forums, kuna jambo lanitatiza Naombeni majibu yenu.

Mfano umepanga nyumba na mwenye nyumba wako anaishi mkoa mwingine tofauti na uishio wewe, ukiwa unamtumia kodi ya nyumba je, ni lazima kumtumia na ya kutolea?
Akitaka na ya kutolea aje mwenyewe achukue kodi.
 
Habari wana JamiiForums, kuna jambo lanitatiza Naombeni majibu yenu.

Mfano umepanga nyumba na mwenye nyumba wako anaishi mkoa mwingine tofauti na uishio wewe, ukiwa unamtumia kodi ya nyumba je, ni lazima kumtumia na ya kutolea?
Umri wako tafadahli, unaonekana under 18 ivi, Bado hujaanza kuwa bandidu.
 
Tuma kamili ya kutolea sio shida zako akitaka asikatwe aifate
 
Jukumu lako ni kodi kwa kiwango mlichokubaliana, kuzidi au kupungua ni makubaliano yenu pia.
 
Back
Top Bottom