Kama mzazi ukimkuta mwanao amefanya hivi utamfanyaje, huna hela ya kununua mboga nyingine

Dhambi sana kumpiga kiumbe km huyo
Makongoro tena ya kitimoto ndio unayaita mboga?
mtoto kakuelewesha acha uvivu katafute kazi leta mavazi, chakula na malazi acha kuokota vitu vya ajabu machinjioni
Mtoto ni Hazina yako mkuu
 
Dhambi sana kumpiga kiumbe km huyo
Makongoro tena ya kitimoto ndio unayaita mboga?
mtoto kakuelewesha acha uvivu katafute kazi leta mavazi, chakula na malazi acha kuokota vitu vya ajabu machinjioni
Mtoto ni Hazina yako mkuu
Usipochapa kidogo hataelewa achapwe hata kidogo skuingine akitaka kufanya atakumbuka basi hatafanya
 
Hahahaa....hapa ndipo wenye busara huonekana.

Mtoto akikunyea mkono huwezi kuukata bali kauoshe/safisha maisha yaendelee
 
Kumbe kitimoto? [emoji15]
Dhambi sana kumpiga kiumbe km huyo
Makongoro tena ya kitimoto ndio unayaita mboga?
mtoto kakuelewesha acha uvivu katafute kazi leta mavazi, chakula na malazi acha kuokota vitu vya ajabu machinjioni
Mtoto ni Hazina yako mkuu
 
Kitimoto ina miguu ya kuku
Dhambi sana kumpiga kiumbe km huyo
Makongoro tena ya kitimoto ndio unayaita mboga?
mtoto kakuelewesha acha uvivu katafute kazi leta mavazi, chakula na malazi acha kuokota vitu vya ajabu machinjioni
Mtoto ni Hazina yako mkuu
 
Itabidi nianze kujiadhibu mimi, unajua kwa nini, mimi ndiye mkosaji wa kwanza, sikufunika. Ningefunika, hata kama angekojoa, mkojo ungeishia kwenye mfuniko tu.
 
Hahahaa....hapa ndipo wenye busara huonekana.

Mtoto akikunyea mkono huwezi kuukata bali kauoshe/safisha maisha yaendelee
Kwenye malezi ya Mtoto kwa baadhi ya vitu ukisema unaweka busara ujue utampoteza.

Hapo ni lazima kapate fimbo mbili tatu na karipio juu ili kasirudie tena.
 
Nilidhani nikumpongeza hana tezi Dume, anarusha zaidi ya ft 6, wakati mzee unakojoa kwenye urinal kwa kushikilia mpira na bado unalowesha viatu.
Tiba ya tezi dume ipo Pm[emoji16]
 
Hahahaa....hapa ndipo wenye busara huonekana.

Mtoto akikunyea mkono huwezi kuukata bali kauoshe/safisha maisha yaendelee
Mkuu hivyo hapo ungemwaga hicho kilichomo jikoni kisha maisha yakaendelea si eti?
 
Kwanza lazima nikalambe fimbo na kajue kosa lake...
 
Hapo siyo fimbo mbili tu nikuchapa asisahau hilo tukio maisha yake yote
Kwenye malezi ya Mtoto kwa baadhi ya vitu ukisema unaweka busara ujue utampoteza.

Hapo ni lazima kapate fimbo mbili tatu na karipio juu ili kasirudie tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…