Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,448 Nov 6, 2019 #41 Tuseme sasa kamekojoa na hujaona!
TAI DUME JF-Expert Member Joined Feb 20, 2014 Posts 9,748 Reaction score 26,238 Nov 6, 2019 #42 Kama nilikuwa sijaweka chumvi basi sijaweka Tena kwani mkojo una chumvi, ila Kama nilikuwa nimeweka chumvi niatongeza maji ili kubalansisha.
Kama nilikuwa sijaweka chumvi basi sijaweka Tena kwani mkojo una chumvi, ila Kama nilikuwa nimeweka chumvi niatongeza maji ili kubalansisha.