Kama Nabi ataondoka kweli Yanga, hamalizi miezi sita huko aendako, atafukuzwa

Kama Nabi ataondoka kweli Yanga, hamalizi miezi sita huko aendako, atafukuzwa

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Mimi nikiwa mzoefu wa ligi hii ya bongo tangu enzi za akina Prof Madundo Mtambo akichezea Reli ya Morogoro, Jimmy Mored kule Tukuyu na wengine wengi ambao nikiwataja humu ntawachosha kwa sababu wengi hamna tofauti na Diamond, nasema Nabi kama ameamua kuondoka Utopolo na kwenda huko aendako iwe sauzi au arabuni, hana muda mrefu atafukuzwa.

Mpira wa bongo unachezwa sana nje ya uwanja, wachezaji wanaongezewa nguvu za giza, timu zinawekeza sana kwenye juju ndio maana walamba koni wakaingia kinyume nyume kule mkwakwani baada ya kuambiwa na mtaalamu wao kuwa ngoma ni ngumu sana, wenzao walianza kuicheza gemu wakiwa kule Algeria, nyie mnaroga Leo, wapi na wapi.

Bw Nabi kila la heri lakn uwezo wako ww sio wa kufundisha sauzi wala wap, naamin utard bongo t maana huku unapaweza kwa sababu ya dua zileeeee
 
Bullshit!.

Kwa nini unakuwa na mawazo mabaya juu ya mwenzako?

Nabi ameonyesha kuwa na uwezo. Ana tactics za hapa na pale zilizomuwezesha kuifundisha Utopolo kwa mafanikio.

Hizo nguvu za kishirikina zimeanzia kwake tu? Huo mpira umeanza kuchezwa nje ya uwanja kwa kipindi Nabi akiwa kocha pekee?

Hata kama ataenda na akafukuzwa, si kwa sababu kakosa mbinu. Makocha huajiriwa ili kufukuzwa. Yapo mambo mengi ambayo huenda yatamfanya akafukuzwa lakini si kwa sababu hana ubora stahiki.

Acha roho ya kichawi. Kuwawangia wengine mabaya. Mtakie kila la kheri.
 
Mimi nikiwa mzoefu wa ligi hii ya bongo tangu enzi za akina Prof Madundo Mtambo akichezea Reli ya Morogoro, Jimmy Mored kule Tukuyu na wengine wengi ambao nikiwataja humu ntawachosha kwa sababu wengi hamna tofauti na Diamond, nasema Nabi kama ameamua kuondoka Utopolo na kwenda huko aendako iwe sauzi au arabuni, hana muda mrefu atafukuzwa.

Mpira wa bongo unachezwa sana nje ya uwanja, wachezaji wanaongezewa nguvu za giza, timu zinawekeza sana kwenye juju ndio maana walamba koni wakaingia kinyume nyume kule mkwakwani baada ya kuambiwa na mtaalamu wao kuwa ngoma ni ngumu sana, wenzao walianza kuicheza gemu wakiwa kule Algeria, nyie mnaroga Leo, wapi na wapi.

Bw Nabi kila la heri lakn uwezo wako ww sio wa kufundisha sauzi wala wap, naamin utard bongo t maana huku unapaweza kwa sababu ya dua zileeeee
Hii Dunia kocha ninayemfahamu ambaye hajawahi kufukuzwa ni Pep Gudiola. Sasa sijui tuamini ni mchawi kuliko makocha wote. Kama ni hivyo kungekuwa na timu ya ligi kuu ya waganga na wasoma Dua tu. Ambayo sasa hiyo ingechukua ubingwa wa Dunia.
 
Bullshit!.

Kwa nini unakuwa na mawazo mabaya juu ya mwenzako?

Nabi ameonyesha kuwa na uwezo. Ana tactics za hapa na pale zilizomuwezesha kuifundisha Utopolo kwa mafanikio.

Hizo nguvu za kishirikina zimeanzia kwake tu? Huo mpira umeanza kuchezwa nje ya uwanja kwa kipindi Nabi akiwa kocha pekee?

Hata kama ataenda na akafukuzwa, si kwa sababu kakosa mbinu. Makocha huajiriwa ili kufukuzwa. Yapo mambo mengi ambayo huenda yatamfanya akafukuzwa lakini si kwa sababu hana ubora stahiki.

Acha roho ya kichawi. Kuwawangia wengine mabaya. Mtakie kila la kheri.
Umeongea kwa hasira sana mwana Lunyasi.... 🤣
 
Kwahiyo Nabi alifanikiwa kwa sababu ya Dua zile ......🙌, Ngoja Simba nasi tufanye hizo Dua huenda tukachukua Champions League kupitia Dua 🤪

Nachojua kuwa Nabi amefanikiwa hapo Yanga kwa kuwa amekaa na Kikosi Muda mrefu lakini pia amefanikiwa kuletewa wachezaji wenye Ubora aliowataka Yeye, sio kuletewa kama Simba tunavyofanya.

Ukiangalia Simba, ndani ya Misimu Miwili tumebadirisha Makocha Watatu kwa mara moja
 
Kwahiyo Nabi alifanikiwa kwa sababu ya Dua zile ......🙌, Ngoja Simba nasi tufanye hizo Dua huenda tukachukua Champions League kupitia Dua 🤪

Nachojua kuwa Nabi amefanikiwa hapo Yanga kwa kuwa amekaa na Kikosi Muda mrefu lakini pia amefanikiwa kuletewa wachezaji wenye Ubora aliowataka Yeye, sio kuletewa kama Simba tunavyofanya.

Ukiangalia Simba, ndani ya Misimu Miwili tumebadirisha Makocha Watatu kwa mara moja
Hadi wakina Pogba huko wanapiga misumali sembuse bongo
 
Mimi nikiwa mzoefu wa ligi hii ya bongo tangu enzi za akina Prof Madundo Mtambo akichezea Reli ya Morogoro, Jimmy Mored kule Tukuyu na wengine wengi ambao nikiwataja humu ntawachosha kwa sababu wengi hamna tofauti na Diamond, nasema Nabi kama ameamua kuondoka Utopolo na kwenda huko aendako iwe sauzi au arabuni, hana muda mrefu atafukuzwa.

Mpira wa bongo unachezwa sana nje ya uwanja, wachezaji wanaongezewa nguvu za giza, timu zinawekeza sana kwenye juju ndio maana walamba koni wakaingia kinyume nyume kule mkwakwani baada ya kuambiwa na mtaalamu wao kuwa ngoma ni ngumu sana, wenzao walianza kuicheza gemu wakiwa kule Algeria, nyie mnaroga Leo, wapi na wapi.

Bw Nabi kila la heri lakn uwezo wako ww sio wa kufundisha sauzi wala wap, naamin utard bongo t maana huku unapaweza kwa sababu ya dua zileeeee
nabi haondoki
 
Kwa hiyo wakati akitwaa Caf Cc akiwa na Ac leopard pia ilikua ndumba ?
Mbona Kigoma,Rukwa na Tabora hawana hata timu ligi kuu ilihali huko ndiko kunakosifika kwa uchawi?
 
Nabi ukimpa RAJA, ALHALY ...watashinda mpaka mseme po
 
Bullshit!.

Kwa nini unakuwa na mawazo mabaya juu ya mwenzako?

Nabi ameonyesha kuwa na uwezo. Ana tactics za hapa na pale zilizomuwezesha kuifundisha Utopolo kwa mafanikio.

Hizo nguvu za kishirikina zimeanzia kwake tu? Huo mpira umeanza kuchezwa nje ya uwanja kwa kipindi Nabi akiwa kocha pekee?

Hata kama ataenda na akafukuzwa, si kwa sababu kakosa mbinu. Makocha huajiriwa ili kufukuzwa. Yapo mambo mengi ambayo huenda yatamfanya akafukuzwa lakini si kwa sababu hana ubora stahiki.

Acha roho ya kichawi. Kuwawangia wengine mabaya. Mtakie kila la kheri.
Huyu mtoto kalelewa kwa deko sana ukitazama thread zake zimekaa kimakuzi ya nyumbani kaka mmoja ambaye pia ndio wa mwisho afu akiwa na madada sita.
Huwezi kupata mwanamume kwenye makuzi ya hivi.
 
Kwa hiyo wakati akitwaa Caf Cc akiwa na Ac leopard pia ilikua ndumba ?
Mbona Kigoma,Rukwa na Tabora hawana hata timu ligi kuu ilihali huko ndiko kunakosifika kwa uchawi?
AC Leopards si ya DRC hiyo? Jiongeze....kuna mambo ukiyajua kuhusu mpira wa Afrika utastaajabu ya Mussa.
 
Back
Top Bottom