Kama Nabi ataondoka kweli Yanga, hamalizi miezi sita huko aendako, atafukuzwa

Kamati zipo kwenye timu zetu kocha anaweza pokea maelekezo pia..... Hawezi pigwa misumali haingii uwanjani
Ndiyo maana tunashindwa kufanya vizuri kuendekeza kamati, unakuta timu ina wazee tupu alafu wakiona Kijana amekuwa wamoto wana mtuliza kwa misumali ili wapate nafasi ya kucheza
 
Na Mayele kama naye akiamuwa kusepa. Tumetabiri 😅😂🤣
 
Bado una mawazo haya bwashee?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…