Kama nakosea nikosoeni tafadhali

StudentTeacher

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2019
Posts
4,153
Reaction score
4,301
Kuna trend naiona kwenye siasa za nchi yetu Tanzania.Kila inapoonekana mwamko wa kisiasa kwa Wananchi wengi umepoa basi inatafutwa namna ya kuuamsha mwamko wa kisiasa upya.

Hili la uchaguzi wa CHADEMA ni miongoni mwa hizo namna za kuamsha ari ya kisiasa kwa Wananchi maana ake si kwa mkesha huu. Hii ni dhana yangu Mimi binafsi ruksa kuikosoa kama ina mafindofindo
 
Huko sawa asilimia 100
 
Kumekucha sasa, siasa za porojo porojo za kuhujumu upinzani zinakwenda kukutana na kigingi.
 
Tatizo kuu ni wale wa ulinzi wale wamechawiwa sijui yaan wale kussuport haki huwa ni ngumu sana ila batli huwaambi kitu wataisupport kweupeee
Tangia uhuru serikali ni ya chama kile kile tu. Watu wamechoka. Jeshi nalo limeshindwa kusoma alama za nyakati..
 
Mimi naona upo sahihi hata uchaguzi wa 2015 watu walikuwa hawana mwamko kwenye siasa ndipo Lowassa akahama kutoka CCM kwenda CHADEMA ili watu wajihusishe tena kwenye siasa.
 
Tunashangalia sana hili la MWENYEKITI ila je ANAENDA kumnadi nani 2025..... USUMBUFU AMBAO CCM ingeupa TAL AKIWA MGOMBEA wa URAIS ni mara 100 Ya USUMBUFU utakaopatikana sasa...

It's all calculated yote yalishafanyiwa KAZI na mezani Hesabu ziko sawa kabisaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…