Kama ndio hivi...wacha wapendwe tu.

Hawa wazee wa siku hizi hawafai kabisa,wanajidai wanaenda na wakati,kwanza shughuli yenyewe hawaiwezi,ukimpeleka puta anaweza akufie kifuani buree.
 
do u know the repayments? if u dont know dont dare try it. danger!!!!!!!!

Yeah, its easier to get AIDS in return but most people dont seem to be real worried,I think its because AIDS dont kill immediately. If AIDS wouldnt let a victim alive for more than a month the fear of it would have been great!
 
ungeomba na wewe akununulie walau lav4, manake naona umetamani sana hadi umejilaumu kwanini umezaliwa mwanaume...ujue atalipa hapo na akijakutwa na kakijana kanamkamua uyo mzee anaweza mpiga bastola au mrushia majini...nyie kina dada muwe makini, hao wazee wamepitia mengi, wameona mengi na wana uwezo wa kufanya mengi, mwingine ukichukua gari yake hivyo afu ukamzingua, anaweza kukuharibia maisha yako yote ukatangatanga kama popo maisha yote....na we mkaka, unatamani hivyo.....angalia usijekuwa kameruni...atakulipia uyo mzee ukiendelea kumfuatilia.
 
 
hapo ukute anatumia ARV,,, na hamwambii huyo msichana,,,na msichana ndo kawa blind kwa hela na si lav
 
kuna kitu hujajua.
sio kua wanajua kukea. ni kua wanauwezo wa kukea.
hyo landcruser kesho anapewa mwingine, keshokutwa mwingine.
 
the last tym I checked care should not be equivalent to LOTS of those papers that shouldn't be torn apart. a.k.a MONEY
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…