komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Yaani masuala kama haya pande za South ni kawaida tu. Wazazi hata huwa hawana uchungu na watoto wao, mara utasikia mtu kamtoa mtoto wake kwa njia za kishirikina ili afanikiwe mara na kule mwengine anamla mwanae.
Inasikitisha sana. Madhara ya kuukumbatia ushirikina ndio haya sasa.
Inasikitisha sana. Madhara ya kuukumbatia ushirikina ndio haya sasa.