Kama NHIF imefilisika, tafadhari watumishi wa umma wawe na uhuru wa kuchagua mfuko wautakao

muafi

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2015
Posts
2,557
Reaction score
6,128
Dharau zimeanza sasa!

Serikali inakoelekea itatufikisha kwenye point ya mwisho.

Haya mapendekezo kuwa mteje wa nhif atibiwe kwenye kituo kimoja tu huu ni upuuzi kwamba kama nilikua natibiwa mwanza nikiugua nipo dar nisitibiwe?

Eti mgonjwa haruhusiwi kutibiwa zaidi ya mara tatu kwa mwezi, upuuzi mwingine.

Mbona hamsemi wale ambao wanamaliza mwaka mzima bila kuugua mnawafidhisia vipi hela zao?.

Kama NHIF imefilisika itoke kuliko kuja na idea za kipuuzi.
 
Kama shilika lingekuwa wanatimuliwa kazi wanakuja wengine lingekuwa bonge la shirika na lenye viwango.sasa ni wale wale
 
Nilijua tu NHIf itakuja kuanguka, hakuna uweledi, dawa nyingi low quality, ubabaishaji mwingi, hospitali na zahanati nyingi hawaipendi, mngonjwa ukiwa mwanachama unadharaulika, dawa nyiingi hamna.
Upigaji saana, kukata bima hii ni mmoja wapo wa ugonjwa pia.
 
Ila jamani watumishi wa NHIF wana maisha matamu.....TRA na BOT wanawazidi kiduuchu!
 
Mashenzi makubwa sn, yanakata hela nyingi sn ila yanakupangia magonjwa ya kutibu. Swine!
 
Serikali imekomba pesa zote na mfuko hauna kitu, waweza kuta wanamadeni makubwa ya hospitali binafsi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…