Hawa ni mbwa koko, hela yangu unanipangia? Mafi!Kama shilika lingekuwa wanatimuliwa kazi wanakuja wengine lingekuwa bonge la shirika na lenye viwango.sasa ni wale wale
Mashenzi makubwa sn, yanakata hela nyingi sn ila yanakupangia magonjwa ya kutibu. Swine!Nilijua tu NHIf itakuja kuanguka, hakuna uweledi, dawa nyingi low quality, ubabaishaji mwingi, hospitali na zahanati nyingi hawaipendi, mngonjwa ukiwa mwanachama unadharaulika, dawa nyiingi hamna.
Upigaji saana, kukata bima hii ni mmoja wapo wa ugonjwa pia.
Naomba kujuzwa asilimia ya makato wanayokatwa watumishi wa umma kwa ajili ya bima ya afyq.Mashenzi makubwa sn, yanakata hela nyingi sn ila yanakupangia magonjwa ya kutibu. Swine!
3%Naomba kujuzwa asilimia ya makato wanayokatwa watumishi wa umma kwa ajili ya bima ya afyq.
Unakatwa Shilingi ngapi kwa mwezi?Mashenzi makubwa sn, yanakata hela nyingi sn ila yanakupangia magonjwa ya kutibu. Swine!
Mkuu, utaratibu mpya ushasitishwa na waziri husikaView attachment 2312978