Kama ni chaga basi mimi nimepewa na kitanda chake

Thex bro

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kwa kweli bi dada hakufanya poa ila ndo ivo njaa mbaya. Na mapenzi kizungumkuti. Imagine ulivyoumia hadi umefungua uzi umeconfess kila kitu! Sasa jaribu tena kuimagine huyo demu wako wa chuo ausome huu uzi na aelewe ni wewe ndo umeandika vile atakavyojickia.
When you set your foot out to cheat, do not by any means expect everyday will be christmass! Wanadamu ndo sisi sisi na wewe mmojawapo.
 
Wanawake ambao hawana kazi ni miyeyusho sana, wana tamaa sana na kibaya wanawake ni watu wa kutongozwa daily so ukishindwa kumtimizia alaf kuna wadau wamemkomalia na wanaonesha nia ya kusupport kile ulichoshindwa anakubwaga......Mwanamke mda wote yupo nyumban tuu anawaza ngono yaan ni taabu sana
 
Reactions: dtj
Pole sana...

Umevamia mlanguzi wa mapenzi... ameikaanga roho yako, na kuiacha imenyauka kama mti...


Cc: mahondaw
 
Pole dogo
 
Naam
 
Ku
kuwa kuwa kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…