mtoto wa mchungaji
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 279
- 480
Wamarekani waliposhambuliwa na magaidi haraka haraka walitunga sharia kali za kupambana ugaidi na waliziingiza haraka katika sharia za kimataifa, haitoshi walimwaona gaidi kama kirusi cha hatari kuzidi cha Korona, fasta wakajenga gereza mbali sana nje ya nchi yao kule Cuba gereza la noma lijulikanalo kama Gwatanamo. Gaidi aliogopwa.
Gaidi hakutakiwa kutoka gerezani ila hakimu ndiyo alifunga safari kwenda Gwantanamo kusikiliza kesi ya mtuhumiwa, watu wanasema Marekani inaongoza kwa demokrasia lakini magaidi wa Gwantanamo hawakuwa wanapata msaada wa kisharia katika kesi zao. Hakuna waandishi wa habari walioruhusiwa kufika mahakamani, lakini mtuhumiwa gaidi hakuweza kuonana wala kuwasiliana na mtu yoyote hata mkewe.
Huku kwetu kwetu sielewi kwanini hatufanyi kama kila kitu tulivyo letewa na wazungu au kama tulivyopokeaga ukrisu ulivyoletwa au huyu si gaidi? au wanatudanganya. Gaidi kila siku anasafiriswa kwenda visutu. Gaidi anachupa za maji safi na leso ya kufuta jasho. Gaidi ni noma. Magaidi wa bongo tunakaa nao hata kama wametambulika wanakuwa mtaani badaade anakamatwa.
Gaidi hakutakiwa kutoka gerezani ila hakimu ndiyo alifunga safari kwenda Gwantanamo kusikiliza kesi ya mtuhumiwa, watu wanasema Marekani inaongoza kwa demokrasia lakini magaidi wa Gwantanamo hawakuwa wanapata msaada wa kisharia katika kesi zao. Hakuna waandishi wa habari walioruhusiwa kufika mahakamani, lakini mtuhumiwa gaidi hakuweza kuonana wala kuwasiliana na mtu yoyote hata mkewe.
Huku kwetu kwetu sielewi kwanini hatufanyi kama kila kitu tulivyo letewa na wazungu au kama tulivyopokeaga ukrisu ulivyoletwa au huyu si gaidi? au wanatudanganya. Gaidi kila siku anasafiriswa kwenda visutu. Gaidi anachupa za maji safi na leso ya kufuta jasho. Gaidi ni noma. Magaidi wa bongo tunakaa nao hata kama wametambulika wanakuwa mtaani badaade anakamatwa.