Kama ni halali kugawana mali ikiwemo ikulu baada serikali tatu kwanini kwa ccm haikua hivyo?

Kama ni halali kugawana mali ikiwemo ikulu baada serikali tatu kwanini kwa ccm haikua hivyo?

Joined
Jan 16, 2007
Posts
721
Reaction score
178
Leo katika gazeti la mwananchi la jumapili Warioba: Ikulu kugawanywa - Kitaifa - mwananchi.co.tz

Jaji Warioba amesema ya kua baada ya muundo wa serikali tatu kwa mujibu wa katiba mpya (kama itapitishwa)Mali zilizokua zikimilikiwa na serikali ya muungano yakiwemo majengo na Ikulu vitagawanywa.Kwa nini hilo halikufanyika kwa CCM baada ya kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi?

Kwani mali hizo yakiwemo majengo,viwanja vya michezo n.k ambavyo vilijengwa na Watanzania wote ambao kwa sasa wako kwenye vyama mbalimbali.Kwani mali hizo hivisa sasa zisigawanywe au kuchukuliwa na serikali?

Nini hatima za mali hizo baada ya chama cha CCM ambacho kinakaribia?
 
Tugawane kwani mirathi hiyo?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Hatutakubali kamwe,tugawane mali za ccm kwanza!wanzanzibar hawana lolote bara
 
Hatutakubali kamwe,tugawane mali za ccm kwanza!wanzanzibar hawana lolote bara

kodi zetu zlitumika kunufaisha muungano na watanganyika.ukivunjika lazima tupewe chetu
 
Tugawane kwani mirathi hiyo?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

mali zote za kile kinachoitwa serikali ya muungano wa Tanzania lazima zipigwe pasu...?hapo pamenoga.
 
Hatutakubali kamwe,tugawane mali za ccm kwanza!wanzanzibar hawana lolote bara

ccm ni chama sio nchi,wanaweza kuonyesha wamejenga kwa pesa za chama utasemaje?.
Wazenj wanalipa kodi ambazo zinaingia hazina,kusema tu kuwa hawana lolote bila kutuelewesha vizuri haisadii.
 
Back
Top Bottom