TandaleOne
JF-Expert Member
- Sep 4, 2010
- 1,644
- 709
- Thread starter
-
- #21
Am a doctor by profession i know what i asked you, and am serious on that. nimefuatilia post zako nyingi. anyway sijui level yako ya elimu , lakini naona unashindwa kuelewa mambo madogo tu! kama hata unashindwa kumuelewa slaa anasema nini, we have to put big question mark! Silaa hajasema mambo hayo yatakuwa tayari within 100days. Anachosema ni kwamba within 100 days mambo yatakuwa kwenye pipeline. sasa unashindwa kuelewa hata hilo ndugu yangu!
I never contribute to the threads that lead deep down to HELL!
Ila ndo wanakuwa washacheza na akili za wananchi!!!Mi kura yangu CCM
Sikushangai naona umeamua kua toilet paper na kujisifu kwa kupakwa kinyesi.
Nd. Tandale hukuelewa, Dr. hakusema ataleta treni ya umeme ndani ya siku 100 bali baada ya mwaka mmoja wa kuwa Rais ataanzisha mchakato wa kupata treni inayosafiri kwa kasi na ya uhakika kuliko ilivyo sasa. Unashangaa nini? au unafurahia akinamama na watoto wanavyotaabika kwenye usafiri wa sasa. TANZANIA YENYE USAFIRI WA KISASA INAWEZEKANA.
Am a doctor by profession i know what i asked you, and am serious on that. nimefuatilia post zako nyingi. anyway sijui level yako ya elimu , lakini naona unashindwa kuelewa mambo madogo tu! kama hata unashindwa kumuelewa slaa anasema nini, we have to put big question mark! Silaa hajasema mambo hayo yatakuwa tayari within 100days. Anachosema ni kwamba within 100 days mambo yatakuwa kwenye pipeline. sasa unashindwa kuelewa hata hilo ndugu yangu!
Kwa maswali mengi namna hii Mkuu inaelekea umeamka na ndoto mbaya tu, kapate Safari ya moto mchana ili upate majibu!Hivi ni kweli kuna watu bado wanauza kura zao hapa Tanzania??????
Hivi ni kweli kuna wanasiasa viongozi mabingwa wa kufoji risiti????
Na ni kweli kwamba siasa zetu zimetawaliwa na blah blah kuliko ishu za msingi???
Hivi jamani ni kweli siku 100 zinatosha kuwa kupata treni ya umeme????
Vipi kuhusu fly overs!!!!!???Na ni kweli kwamba Tanzania siasa ni mchezo wa kuigiza????
Na wale jamaa hivi kweli walimaanisha wanachosema???Kwamba kuna watu wananunua watu kuchafua watu?????Kwa faida ya nani????Hivi tunaweza kuwa na kinga dhidi ya tatizo la kiuchumi la dunia pindi litokeapo????
Hivi kweli kuna mtu mkamilifu???Mbona wanajiita wakamilifu????Kuna watu wamekula fedha ya kusaidia yatima Tanzania???Laaaaaaaaaana!!
Jioni ina maswali sana!!
Wikendi njema ndugu zangu.
Inawezekana wewe ni daktari wa ujinga au upofu!Kwani kama unashindwa kunakiri jina la Slaa na ukaliandika Silaa utaweza vipi kutabibu wenye magonjwa ya kweli!?BIG Q-mark!
Hivi ni kweli kuna watu bado wanauza kura zao hapa Tanzania??????
Hivi ni kweli kuna wanasiasa viongozi mabingwa wa kufoji risiti????
Na ni kweli kwamba siasa zetu zimetawaliwa na blah blah kuliko ishu za msingi???
Hivi jamani ni kweli siku 100 zinatosha kuwa kupata treni ya umeme????
Vipi kuhusu fly overs!!!!!???Na ni kweli kwamba Tanzania siasa ni mchezo wa kuigiza????
Na wale jamaa hivi kweli walimaanisha wanachosema???Kwamba kuna watu wananunua watu kuchafua watu?????Kwa faida ya nani????Hivi tunaweza kuwa na kinga dhidi ya tatizo la kiuchumi la dunia pindi litokeapo????
Hivi kweli kuna mtu mkamilifu???Mbona wanajiita wakamilifu????Kuna watu wamekula fedha ya kusaidia yatima Tanzania???Laaaaaaaaaana!!
Jioni ina maswali sana!!
Wikendi njema ndugu zangu.
Nina wasiwasi sana na uwezo wako wa kuelewa mambo. Uliwahi kupatwa na degedege wakati wa utoto wako?
CCM itapita kwa kishindo.Indiketa iliwaka uchaguzi wa serikali za mitaa.Tz haina swing voters.
Inaumaa sana, pale Unapoona Mtu anaedhaniwa kuwa msomi, anapo tetea Upuuzi akiwa anajua fika ni upuuzi, Anapotumia Majukwaa kama hili, kupotosha, kusingizia, kubatilisha maswala yaliyo wazi kabisa.
Katika ufahamu wangu, waweza kum judge mtu katika Maongezi, Jinsi aongeavyo. hasa kwa level ya kwanza.
Sasa mtu abezae Ahadi za Dr Slaa, zenye Scientific utetezi, sidhani kama yuko sawa, Ifike mahala Swala la Utaifa, litetewe kitaifa, Hana Maana yeyote apotoshae hili. Nationalism jamani TUNAKWENDA WAPI???? :confused2:
Njaa ndugu yangu weee njaa haina adabu, unaweza kuta anawekwa mjini kwa pesa za kifisadi pia, but mwisho wao unakuja october 31 cha moto watakiona.
Vilevile usisahau kumsikiliza rais akitoa salamuNi maoni yako.
Heri yake aliyesema mke wa rais hatumii fweza za walipa kodi bali kutoka mfuko wa rais. Shehe Yahaya yuko wapi?