Kama ni kweli basi ndugu zangu ntakufa kishujaa sana ingawa nawaza sana

Mwandiko wa mleta mada mbona kama ni wa mwanafunzi wa shule za kata,Diana mauno angemkutia wapi?
Yeyote atakaye/aliye kufa chanzo kikiwa ni Diana,basi,ata/amekufa akitetea heshima ya ukoo.
Hawa yuu shemeji[emoji112] [emoji112]
Amesema mume wa huyo bidada aliwahi pewa mauno na mcheza show,ndo nimeuliza ni diana?
Kama ni yeye aanze kuandika urithi mapema.

Mie bukheri kabisa shem wake,sijui wewe
 
Amesema mume wa huyo bidada aliwahi pewa mauno na mcheza show,ndo nimeuliza ni diana?
Kama ni yeye aanze kuandika urithi mapema.

Mie bukheri kabisa shem wake,sijui wewe
Ameunga unga stori tu.
Mungu ni mwema nipo vizuri kabisa
 
Wale wanaosemaga weka picha wako wapi watusaidieee...
Naona huo uzuri umehubiriwa sana sasa natamani ushuhuda wake.
 
PEP not prep.
 
sio kishujaa ni kizembe....halafu unaonekana unakaaga vijiweni kupiga story za mademu.......utakuwa under 20 tu....25 + hatuna tabia ya kupaparika kula bila zana na kuhadithiana.....kula kimya kimya tu ila jikinge
 
Tatizo story za humu hazieleweki ipi ya kweli na ipi ya uongo.

Kwa huyo mkuu usinilaumu kwa kushindwa kukupa pole
 
Eeh parapanda, parapanda italia parapanda...
Chiz maarifa amekwisha tangulia kaburin eeh parapanda....
 
Haya matatizo wayatafuta mwenyewe, kwani kutangazia wenzio ulichokula kinakuongezea nini, sana sana ni kujishushia heshima yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…