carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,562
- 285,591
Amesema mume wa huyo bidada aliwahi pewa mauno na mcheza show,ndo nimeuliza ni diana?Mwandiko wa mleta mada mbona kama ni wa mwanafunzi wa shule za kata,Diana mauno angemkutia wapi?
Yeyote atakaye/aliye kufa chanzo kikiwa ni Diana,basi,ata/amekufa akitetea heshima ya ukoo.
Hawa yuu shemeji[emoji112] [emoji112]
Ameunga unga stori tu.Amesema mume wa huyo bidada aliwahi pewa mauno na mcheza show,ndo nimeuliza ni diana?
Kama ni yeye aanze kuandika urithi mapema.
Mie bukheri kabisa shem wake,sijui wewe
Wale wanaosemaga weka picha wako wapi watusaidieee...ni ngumu kumwambia mumewe ana ngwengwe nawaza kuwa maybe baada ya miezi 3 nikapime nione nitakuaje. demu ni mzuri sana kiasi sitaki kabisa kumuudhi kwa kumuuliza kuwa mumewe ana ngwengwe je anatumia life support. pia ananiona mi mstaarabu sana.
nimeanza hata kukonda kwa mawazo. maana jamaa wanasema "ana ngoma ana ngoma wallah sitapona"
Chai hii shem tena haina sukari wala mdalasini.Ameunga unga stori tu.
Mungu ni mwema nipo vizuri kabisa
PEP not prep.Chai imekolezwa ikatiwa na tangawizi kwa mbaali. ALMOST believable
Sema kama this story is true. Either washkaji wanakuzingua ili upate presha au wanasema ukweli. Ila kwanini ukae ukiwaza what ifs, nenda hospital kapime. Ungewahi probably ungeanza hata na prep
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Chai hii shem tena haina sukari wala mdalasini.
Msalimiepo mama
You are right, niliichanganya na Pre-exposure prophylaxis(PrEP) while yeye anatakiwa ya post exposure.PEP not prep.
Kwa maelezo hayo, wewe upo kwenye game.You are right, niliichanganya na Pre-exposure prophylaxis(PrEP) while yeye anatakiwa ya post exposure.
Thanks for noticing
Tatizo story za humu hazieleweki ipi ya kweli na ipi ya uongo.Hapa mtaani kuna dada mmoja wa kidosi anasumbua sana huyu dada ni mzuri ameolewa na jamaa mmoja mtu mzima mambo safi sana.
Kitaa masela wote wanamkubali sana si kitoto na jambo zuri hana majidai kila mtu huwa anamtumia huyu dada kuchezea pool jamaa kibao huwa hawaoni soo kunyetisha hivyo kuwa at least wao wanamla kwa kupigia pool.
Mimi nipo mtaani nafahamiana naye sababu pia ofisi zetu town zipo karibu anajua nampenda nami huwa namwambia hilo basi mumewe amekuwa akimtenda vibaya sana jamaa hata hajali kuwa ana mke waya mbaya.
Juzi juzi hapa demu nilimla katika mazingira ya kutatanisha sana miaka karibia mitatu nafukuzia na kula kwa macho nikamla parking jioni alikuwa na stress kinoma kashamfumania sana jamaa yake ambaye hajali.
Tukawa tunapiga stories ananisimulia katika kufarijiana nilimla kavu ali mind sana kwa hicho kitendo kama siku mbili hivi akawa hataki hata twonane.mwishowe akanambia amenisamehe ila nisimchukulie poa.
Basi nikatonya washkaji kuwa yule demu mgumu wa kidosi nimekula hawakuamini masela wakaona kama nawauzia chai daaah nikashawishika kufanya jambo la kipuuzi kuwaonesha texts zetu na demu jamaa walinipa kongole kinoma kuwa nimekula tena live.
Jamaa mmoja ndo akauliza "bob ulivaa kiatu au ulicheza pekururu?" nili stuck kidogo but nikatabasamu kuwa ingekuwa kosa la jinai kula mtoto kama yule kwenye ganda ndo jamaa kusema yule mume wa yule dada ameshakula wasanii kibao na wawili wamesha kick the bucket.mmoja alikuwa mnenguaji matata sana huko nyuma.
Mwingine alikuwa video queen na mwigizaji.hapo nkashtuka na yule mzee inasemekana mwingi sana hasa sababu ana mavumba anawapanga sana madada.
Nimeanza kukosa amani maana yule dada nilimla pekururu tena kwa kutaka sifa nilipalaza kinoma mle ndani sielewi na hata nimeanza kupoteza hamu ya kula kwa mawazo jamaa wanasema ni kweli atakuwa na ngwengwe maana mumewe yupo connected.
Nawaza kama ntakufa daaahh Ingawa nitakufa kishujaa kwa masela maana wananipa respect sana kitaa baada ya kula demu mkali wa kidosi.
Dah..ata mala ishilini ni alali kabisa blo😎Hapo Cha msingi Babuu mtafute upige mashine kwa mala nyingine na nyingine ili hata ukifa Basi ufe kishujaa na kialali kabisa
Hao masela wako wana akili za kitoto.Nawaza kama ntakufa daaahh Ingawa nitakufa kishujaa kwa masela maana wananipa respect sana kitaa baada ya kula demu mkali wa kidosi.